Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mmejipanga lumumba. Bahati mbaya umafia wenu unaongea kuliko utetezi wenu. Poleni
 
Ukweli utaendelea kusemwa kwani ni lazima usemwe.

Mazuri lazima tuyaseme na kuyaweka kwenye vitabu vya kumbukumbu.

Ni ukweli usiopingika kuwa hadi sasa hakuna mtanzania aliyefikia rekodi ya Rais Magufuli katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya miundombinu nchini na pengine East Africa.

Magufuli anaingia kwenye rekodi za kidunia katika kubadili muonekano wa nchi kwa muktadha wa miundombinu.
 
Ukweli utaendelea kusemwa kwani ni lazima usemwe.

Mazuri lazima tuyaseme na kuyaweka kwenye vitabu vya kumbukumbu.

Ni ukweli usiopingika kuwa hadi sasa hakuna mtanzania aliyefikia rekodi ya Rais Magufuli katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya miundombinu nchini na pengine East Africa.

Magufuli anaingia kwenye rekodi za kidunia katika kubadili muonekano wa nchi kwa muktadha wa miundombinu.
Naona umeingia bleed ya mdomo wanawake wenzako wanaingia chini wewe umeingia ya mdomo sijui ped unawekaje
 
usikumbushe watu kioja cha fedha za uhuru, kumbe ile barabara ya moroco mwenge imejengwa na watu wa ulaya ?
 
Kasimamia kodi zetu vizuri
Hivi unajua mpaka mwaka 2015,wizara yake ilikuwa inadaiwa trillion 1.4,kati ya Hizo ni bil 500 tu ndio zilikuwa gharama halisi za miradi, nyingne billion 900 zilizobaki ni faini za kuchelewa kulipa madeni ya miradi pamoja na kuvunja mikataba hovyo!
Sasa huko ndio kusimamia kodi zetu vizuri, pumbav kabisa!
 
kwenye miundombinu magufuli atafunika sana ukweli ndio huu, kufkia 2020 tutakuwa na miundombinu imara Tazara flyover, ubungo flyover, SGR, barabara kila kona ya nchi
 
Hivi ni nafas gan ya uteuz bado ipo waz....
Naona unaitafuta kwa nguvu zote....
 
JPM yuko vizuri.. Ngosha amamsimamo sana.
JAGA CHENE NKOI..BIYA KUSHOKA NUMA.
 
Wasaalam wadau!!

Kwanza napenda niweke wazi yakwamba siwabezi marais waliopita kwasababu kila mmoja amefanya mazuri na mabaya take katika lupins chake ila Watanzania na kizazi kijacho kinamsubiri rais atayewapa watanzania zawadi kuu na kubwa ambayo ni katiba mpya.

KUkweli ni kwamba katiba ndio inayoamua maendeleo ya nchi na sio rais mkali.
Kwasababu zifuatazo:-
1.Katiba itaonyesha dira ya Taifa,kwahiyo itatuepusha kila Rais Luna na mambo yake,hivyo Kama dira ni viwanda kwa Miaka 100 itonyeshwa kwenye katiba.
2.Mifumo na mihimili ndio inatakiwa iwe huru na mikali na sio Rais.Mifumo ikipewa nguvu kikatiba itaweza kumuwajibisha mtu yeyote atakaye chezea raslimali ya nchi.
3.Katiba itatuwekea mfumo mzuri wa demokrasia ambeye ndio chimbuko la Amani na sio nguvu ya dola.

Napendezwa Sana najuhudi za Rais wetu Magufuli ni kweli ni Rais mzalendo na mwenye nia njema sana na nchi hii lakini ili nia yake isishie njia tunaomba atupe zawadi ya katiba mpya inayotokana na maoni ya wanananchi.
Hakika siku unatupa katiba inayotokana na maoni wananchi hili Taifa utakuwa umeipatia zawadi kubwa sana.
Baadhi ya watu wanabedha juhudi na nia yako njema katika taifa hili either kwa makusudi au kwakutokuona Latino siku ikiamishia hiyo nia yako njema kwenye Katiba ninauwakika watakuelewa sana.
 
Tokea huyu mheshimiwa aingie madarakani nilikuwa sijawahi end hospitality kutibiwa jamani.

Sasa Leo nimeenda cha kushangaza natoa 4000 yaani alfu NNE tu hela za kitanzania. Namueleza daktari navyoumwa napimwa na kupewa madawa lukuki kwa hiyo hiyo hela. Hata wakati nafungiwa madawa nimeshajiandaa kutoa hela. Ila cha kushangaza sikuombwa hela na hakukuwepo na dalili hiyo ndio nikaondoka zangu.

Jamani huyu mzee anapambana na wakwepa kodi na matokeo yake hayo tunayaona.
Wazee siku hizi ni Bure na watoto wadogo.

Pia nikaona tangazo kuwa kujiunga na mfuko wa bima ya afya kwa mwaka kwa kaya yenye watu sita ni sh 15000 I.e alfu kumi na tano .


Hivi watanzania tunachotaka ni Nini jamani.

MIE ni navyojua wafanya biashara walikuwa wanakwepa sana kodi na watumishi wetu walikula rushwa sana ndio hao walikuwa wakija bar zinafurika wananunua viwanja ivyo na kujengejenga kama yule bwana mwenyewe nyumba 83.

Sass siku hizi hakuna hayo mambo mfanyabiashara Inatakiwa alipe kodi yake stahiki ila analalamika.

Kiukweli kipindi cha jk mtumishi pekee ndiye aliyelipa kodi kihalali.
Ila saivi mfanyabiashara akionyeshwa kodi yake analalamika sana mana walizoea kukwepa namie nikiwemo .

In my own opinions Jpm tawala milele.
Katiba ibadilishwe Iwe miaka 7 halafu ukomo UTOLEWE.
Uliomba kwa kubahatisha ila ukasukumizwa huko.
Huyo aliyekusumikiza Mami ni Mungu mana aliona tunakuhitaji.

Viva Jpm
 
Tokea huyu mheshimiwa aingie madarakani nilikuwa sijawahi end hospitality kutibiwa jamani.

Sasa Leo nimeenda cha kushangaza natoa 4000 yaani alfu NNE tu hela za kitanzania. Namueleza daktari navyoumwa napimwa na kupewa madawa lukuki kwa hiyo hiyo hela. Hata wakati nafungiwa madawa nimeshajiandaa kutoa hela. Ila cha kushangaza sikuombwa hela na hakukuwepo na dalili hiyo ndio nikaondoka zangu.

Jamani huyu mzee anapambana na wakwepa kodi na matokeo yake hayo tunayaona.
Wazee siku hizi ni Bure na watoto wadogo.

Pia nikaona tangazo kuwa kujiunga na mfuko wa bima ya afya kwa mwaka kwa kaya yenye watu sita ni sh 15000 I.e alfu kumi na tano .


Hivi watanzania tunachotaka ni Nini jamani.

MIE ni navyojua wafanya biashara walikuwa wanakwepa sana kodi na watumishi wetu walikula rushwa sana ndio hao walikuwa wakija bar zinafurika wananunua viwanja ivyo na kujengejenga kama yule bwana mwenyewe nyumba 83.

Sass siku hizi hakuna hayo mambo mfanyabiashara Inatakiwa alipe kodi yake stahiki ila analalamika.

Kiukweli kipindi cha jk mtumishi pekee ndiye aliyelipa kodi kihalali.
Ila saivi mfanyabiashara akionyeshwa kodi yake analalamika sana mana walizoea kukwepa namie nikiwemo .

In my own opinions Jpm tawala milele.
Katiba ibadilishwe Iwe miaka 7 halafu ukomo UTOLEWE.
Uliomba kwa kubahatisha ila ukasukumizwa huko.
Huyo aliyekusumikiza Mami ni Mungu mana aliona tunakuhitaji.

Viva Jpm


Amina!
 
Back
Top Bottom