Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Wapinzani ni wagonjwa wakubwa kiakili
 
kazi gani unayo himiza wewe ili tuungane pamoja kufanya![emoji24] mana biashara haziendi mzunguko wa pesa hakuna mtaani, mahindi ndo gunia 36000/. Anamtakia nini masikini kama si kumuua kabisa? Labda wewe tuambie kazi unayo manisha[emoji24]
Ulipewa akili na Mungu ya nini? Unataka ibuniwe kazi ya kufanya?
 

Nimegundua Wanachadema na vyombo vyao vya habari wako mstari wa mbele kutengeneza kila aina ya uongo na kuusambaza ili kuchafua taswira ya nchi, kutaka serikali iache vipau mbele vya maendeleo ibaki inapiga porojo za siasa. Ni upumbavu wa hali ya juu kwa akili zao ndogo. Viongozi wa chadema wametajirika kwa siasa wamesahau umaskini wa watu wao.
Pia kuna baadhi ya wanaccm waliokuwa wananufaika na rushwa na wapiga tarumbeta-vuvuzela bila kujijua
 
Yan uyu jamaa anaye jiita tramadol# nauonaga kama bwege bwege flan ivi# kama kibushuti au baasha flani ivi# yani yeye uwa atoi uchambuzi bali ana uccm mwingi# na kama kweli uko chuga namashaka may be mke wako atakua kakupeleka kwa sangoma# unafikiria kwa kutumia akili za limbwata# tutolee mambo yako ya lumumba# kwa mada uliyo weka apo ina maana maraisi walio pita walikua hawana nia ya dhati?...au ndo ushwaini # vp kwani madikteta wenginr uwa awana nia ya dhati na kuzisaidia nchi zao?
 
Mauzo nje yamepungua kwa 46%, je hiyo ni sehemu ya hiyo nia njema? Hii rushwa korofi nayo ipo kwenye hiyo mipango yake mizuri?
Masoko ya nje yako wazi.....hutaki kazi na hutaki kuzalisha utauza hewa uko nje?
 
Naona hakuna ulichoandika zaidi ya hisia zako tu chafu na matusi na dhihaka na uchama uchama wakati wengine hata sio CCM.
 
''wako wapi?... wako wapi?.... wapi mtu wenyu...? PAMMBAAFFFFF KABISA NYIE!!!😎😎
 
Naona hakuna ulichoandika zaidi ya hisia zako tu chafu na matusi na dhihaka na uchama uchama wakati wengine hata sio CCM.
Ndio ni hisia zangu# ulitaka ziwe hisia za lumumba# acha mambo ya ndumila kuwili kiongozi..u uzi wako na uchafu tu maana naona akuna hoja apo ya msingi # zaidi ya bla bla
 
Mjinga wewe mwenyewe... Usipende dhihaka
Una thread za kijinga sana..zisizo endelevu wala kujenga jamiii zaidii ya uongo uongo!mumeo unayemsifia anatusaidia nin ASA wananchi masikin?acha ujinga wakitoto!
 
HAPA KAZI TUUU MAGUFULI OYEEEEEEE WAPIGA DILI HALI MBAYA
 
Dr Magufuli ana malengo makubwa na Tanzania wengi haoni kwa sasa.
Kwenye misemo mingi na falsafa na dhana za kisayansi mambo mengi huamuliwa kwa wingi. Kwenye sayansi ya siasa ndiyo kabisaa! Wingi ndiyo kila kitu katika siasa.

Sasa kama Rais magufuli anafanya mambo ambayo "wengi" hawayaoni, wewe huoni kwamba kuna tatizo hapo katika hiyo dhamira na utendaji wake? Yeye si alisemwa ameshinda kwa kuwa alikuwa na kura nyingi. Sasa anafanyaje mambo ambayo wengi hawayaoni na wewe unataka aungwe mkono?

Kwa maneno mengine unataka kusema kuwa Rais Magufuli ana uwezo na akili za kiwango cha juu sana kuliko hao watanzania "wengi" ambao hawaelewi malengo yake "makubwa" kwa Tanzania?
 
Hata maandiko yanasema Musa alikataliwa na wana wa Misri. Ila Tutafika tu na tutafanikiwa.
 
Hii ni kweli kabisa ila cku zote wapo watakaopinga ila naamn Rais Magufuli ataweka mambo sawa kabisa, pia Hawa wanaompinga n wasopenda kufanya kazi yaan wao kila kitu n kupinga na kulalamika
 
Una thread za kijinga sana..zisizo endelevu wala kujenga jamiii zaidii ya uongo uongo!mumeo unayemsifia anatusaidia nin ASA wananchi masikin?acha ujinga wakitoto!
Unataka akagaie pesa kama Kikwete. Fanya kazi eti masikini... Una umasikini gani wewe kutwa upo kwenye net? Tumia akili yako na umasikini utakwisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…