Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Ni kweli una uhakika pesa ya umma inatumika kama ilivyopangwa..??? Au huko kupangwa wewe unamaanisha nn..??

1. Ni bunge gani liliidhinisha pesa ya ujenzi wa airport Chato..??

2. Ni bunge lipi liliidhinisha ujenzi wa ukuta Mererani..??
 
Kwahyo karne hii ya 21 ambayo dunia inazid kubadilika unataka watz wote wawe na akili kama zako? Mbona unakuwa na mawazo sawa na ya mwenyekiti wako wa chama? Ni kwel jamaa ako anamalengo makubwa sana lakini amechagua njia mbovu ya kuyafikia. Hv ni lini mtafunguka na kujua kwamb ameshafeli?
 
Kweli kabisa Magufuri ana malengo makubwa mnoo ya kuua uchumi wa Tanzania, Pia ana malengo mazito sana ya kununua madiwani wa Chadema
 
Tatizo mnatumia nguvu nyiiiingi kumsafisha.
MNA wasi wasi wa nini mbona hamjiamini?
Mara kununua madiwani.mara kuwapiga watu risasi.mara kufungua matairi.mara kukamata viongozi wa upinzani.
Kama magufuli angekuwa ana kubalika msingeyafanya yote haya.
 
Mkuu tokea aliposhika uongozi huyu Mzee nilimdis sana huyu Mzee ila sasa nimeanza kumuelewa kwa aliyoyafanya ni makubwa na sidhani kama yule Mzee tuliyenae ufipa angeweza hii kasi ya maendeleo,na najuta kumpa kura yangu.
mkuu kwa faida ya wengi je unafikiri kwanni mzee wa ufipa asingeweza tuanzie hapo kwanza
 
Mkuu tokea aliposhika uongozi huyu Mzee nilimdis sana huyu Mzee ila sasa nimeanza kumuelewa kwa aliyoyafanya ni makubwa na sidhani kama yule Mzee tuliyenae ufipa angeweza hii kasi ya maendeleo,na najuta kumpa kura yangu.
Na mimi naungana na wewe kwa haya mkuu!

1.50M kila kijiji
2.laptop kila mwl
3.mikopo elimu ya juu
4.nyongeza ya mshahara kwa watumishi
5.watumishi kupanda vyeo
6.watu wasiojulikana( watu kuuliwa ovyo)
7.kununua ndege bila kushirikisha bunge
8.madeni anayoyatengeneza kutokana na kesi anazolazimisha
 
Dr Magufuli amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watanzania wanafanyakazi kwa juhudi zote, wala rushwa wanashughulikiwa, mafisadi wanasumbuliwa, pesa ya umma unatumika kama ilivyopangwa.

Uongo mtupu!
1. Kumwacha Bashite ofisini licha ya tuhuma za fake identity!
2. Wala rushwa gani hao wakati mahakama ya mafisadi inakula vumbi kwa kukosa wateja? Halafu toka lini mla rushwa na fisadi akapambana na rushwa na ufisadi? Kwanza, ajifikishe mwenyewe Mahakamani kwa makosa ya rushwa na ufisadi.
3. Pesa ya umma anatumia bila kuidhinishwa na Bunge! Alihonga Mahakama fedha ambazo hazikuwa budgeted for. Amenunua ndege na kujenga uwanja wa Chato bila idhini ya Bunge. Kaagiza ujenzi wa ukuta Mererani bila idhini ya Bunge.
 
ahsante mtoa mada ila inaonekana wewe bado upo LALA LAND,our no 1ni wajibu wake kuyafanya hayo anayoyafanya sio kuwa nchi ina pata favour na kubwa yote ni lazima ayafanye hayo majukumu KISHERIA ,ni KATIBA ndio iwe DIRA YAKE katika kutimiza wajibu wake huo,mpaka leo sijui nchi yangu ipo upande gani katika masuala ya uchumi,je tumerudi kwenye ujima?ujamaa au tupo kwenye liberal n.k yaani tumekuwa kama weather ya pale Singida inaweza kubadilika muda wowote ule,vile vile tuna tatizo kubwa ambalo linachukuliwa kisiasa sio reality idadi ya watanzania inaongezeka kwa kasi mno.matokeo yake inameza ongezeko la uchumi wetu but until today sio no 1au waziri wa Afya au waziri wa home Affairs(kwangu he is the weakest link)wameshatoa angalizo lolote,uzalishaji katika viwanda vyetu unashuka,tunaagiza zaidi kuliko exporting more,bajeti ya ndani bado tegemezi,elewa DRC na ZAMBIA taratibu wanaanza kutumia bandari ya Walvis Bay na Durban,na watanzania au watu wote need freedom,democracy kubana kwake anawafanya watu waamue kuchukua au kuanza kufikiria njia za kujikwamua,ukimbana mno mtoto wako utamfanya aanze kufikiria jinsi ya kuruka ukuta au kutengeneza funguo mbadala,wakati unatakiwa umpe uhuru na kumwelimisha ili awe ndio mwamuzi wa maisha yake,mnjengee nidhamu ya kweli sio woga na aelewe taratibu za familia.our no 1 inaipeleka nchi yangu kusikojulikana.
 
Ulitaka ahitishe Bunge kupitisha kujenga ukuta. Subiri ukiingia madarakani utafanya hivyo.

Ndege ni maamuzi magumu kufufua ATC

Chato ni nyumbani kwake lazima kujengwa unataka au hautaki.

Mahakama ni pesa yao kama walichoomba kwake kuwa huwa hawapati kwa wakati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…