MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,843
- 5,476
Hao watu hawakuwa na ndugu tusikie ndugu wakiwatafuta?Iweje bavicha muwe na uchungu sana kuliko ndugu zao?Mi naamini mtu hadi kupotezwa ni lzm uwe na jambo lenye kuleta shida sana kwenye maslai ya mtu au kundi flani na automatically hao waliopetea wangejulikana tu kuwa flani kasema hivi na sasa kapotea ktk mazingira ya kutatanisha.Hao mnaodai wamepotezwa walifanya nn kias utawala uone ni hatari na solution iwe kuwapoteza?Watu wengine sijui mnatumwaga ili msikie maiti zinaokotwa baharini?