Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Jamani tuwe wakweli na waungwana!
Embu basi tutambue juhudi za Serikali ya Mh Magufuli. Rais anajitahidi sana. Mambo mengi sana mazuri anafanya vizuri sana.
Naunga mkono hoja.
Tena nimependekeza, uchaguzi wa 2020, usifanyike, rais Magufuli aendelee tuu moja kwa moja, na 2020, kama miradi mikubwa ya SGR na Stiggler haijakamilika, then tumuongeze muda, tumpatie muda wa kutosha endelee tuu mpaka akamilishe kuifanya Tanzania ni nchi ya maziwa na asali.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
P.
 
Uchwara IN
Busara OUT
Brain Zero IN
Intelligence OUT
 
Weka chumvi kama sukari imekushinda
 
Mishahara hailipwi on time hiyo nchi yenye maziwa na asali itatoka wapi?
Acha ajineemeshe yeye huku akiwadanganya anabana matumizi
 
Bashiteeeee, unajengewa mahekalu tu utaanzaje kuona ubovu wa DHALIMU la DHALIMU ?
 
Umetisha sana mkuu..good
 
Nunua robo kilo acha ujuha wewe
 
Wasomi na vijana in wapi??? Nawe upimwe akili kwa kuandika usichokijua
 
Mkuu unga umeshuka bei. Hiyo hela nyingi sana!
 

Sikujuaga kama nawe unawazaga na tumbo hivi.

Pole.

Sina ninachoweza kukusaidia zaidi ya kukupa pole Tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…