Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,510
Unauliza tutamlipa nini? Mwenzio keshajilipa mapema 1.5tri si haba.Watanzania tutakulipa nini?
Reli ya kisasa... wewe
Kinyerezi two... wewe
Bombardier....wewe
Kuhamia Dodoma...wewe
Ubungo interchange project....wewe
Bomba la gesi.....wewe.
ukuta mererani ...wewe
Fly over....wewe
"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"
Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
Maendeleo ya vitu sio maendeleo ya watu. Ukweli ni kwamba watu wengi wana hali mbaya sana.
Umbwa nini wwWatanzania tutakulipa nini?
Reli ya kisasa... wewe
Kinyerezi two... wewe
Bombardier....wewe
Kuhamia Dodoma...wewe
Ubungo interchange project....wewe
Bomba la gesi.....wewe.
ukuta mererani ...wewe
Fly over....wewe
"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"
Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
Naona mmetumwa humuBinafsi toka uhuru sipendi kuamini kama kuna rais kama huyu. Ni mzalendo, anaipenda nchi yake, ana mtazamo wa maendeleo. Anakosa tu suport kutoka kwa sisi wasaidizi wake. Watu tumezoea business as usual
Siku utaacha kuf...rw ndo utakua na akiliMagufuli kanyaga twende tutafika hata kwa mijeledi.
Watanzania tutakulipa nini?
Reli ya kisasa... wewe
Kinyerezi two... wewe
Bombardier....wewe
Kuhamia Dodoma...wewe
Ubungo interchange project....wewe
Bomba la gesi.....wewe.
ukuta mererani ...wewe
Fly over....wewe
"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"
Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
Sasa mbona unatukana mwenzio...vp ulitaka muwe na mtazamo mmoja wakat wajua akil n nywere....[emoji2] [emoji3]Siku utaacha kuf...rw ndo utakua na akili
unapost mwenyewe na kuchangia mwenyewe kwa ID tofauti kweli maskin wa rohoMagufuli kanyaga twende tutafika hata kwa mijeledi.
Ha ha ha, hiiiiiiiiiiiiiiKampe malinda yako, afterall hukuyanunua. Ulipewa bure
Wow. Kusoma hawajui hata picha nayo hawaoini???Watanzania tutakulipa nini?
Reli ya kisasa... wewe
Kinyerezi two... wewe
Bombardier....wewe
Kuhamia Dodoma...wewe
Ubungo interchange project....wewe
Bomba la gesi.....wewe.
ukuta mererani ...wewe
Fly over....wewe
"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"
Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
Unadhani fedha ndizo zilizojenga hayo. Mbona zilikuwepo na hatukuona kitu zaidi ya blah blah?kwani alitoa fedha zake mfukoni?
Kwahiyo magufuli anatoka chama kingine sioUnadhani fedha ndizo zilizojenga hayo. Mbona zilikuwepo na hatukuona kitu zaidi ya blah blah?
Mrembo bado tu hujaanza kiweka jina lako halisiHaya kachukue buku 7 yako halafu ujisemee wewe cha kumlipa sio utuingize na wengine