Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Watanzania tutakulipa nini?

Reli ya kisasa... wewe

Kinyerezi two... wewe

Bombardier....wewe

Kuhamia Dodoma...wewe

Ubungo interchange project....wewe

Bomba la gesi.....wewe.

ukuta mererani ...wewe

Fly over....wewe

"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"

Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
Unauliza tutamlipa nini? Mwenzio keshajilipa mapema 1.5tri si haba.
 
hauna cha kumlipa kwakuwa tayari ameshachukua elfu 30 yako katika 1.5 T
 
Watanzania tutakulipa nini?

Reli ya kisasa... wewe

Kinyerezi two... wewe

Bombardier....wewe

Kuhamia Dodoma...wewe

Ubungo interchange project....wewe

Bomba la gesi.....wewe.

ukuta mererani ...wewe

Fly over....wewe

"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"

Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
Umbwa nini ww
 
Binafsi toka uhuru sipendi kuamini kama kuna rais kama huyu. Ni mzalendo, anaipenda nchi yake, ana mtazamo wa maendeleo. Anakosa tu suport kutoka kwa sisi wasaidizi wake. Watu tumezoea business as usual
Naona mmetumwa humu
 
Kubwa la majizi




Watanzania tutakulipa nini?

Reli ya kisasa... wewe

Kinyerezi two... wewe

Bombardier....wewe

Kuhamia Dodoma...wewe

Ubungo interchange project....wewe

Bomba la gesi.....wewe.

ukuta mererani ...wewe

Fly over....wewe

"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"

Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
 
waweza mlipa wewe kwa niaba kama unaamini anastahili hayo malipo
 
Watanzania tutakulipa nini?

Reli ya kisasa... wewe

Kinyerezi two... wewe

Bombardier....wewe

Kuhamia Dodoma...wewe

Ubungo interchange project....wewe

Bomba la gesi.....wewe.

ukuta mererani ...wewe

Fly over....wewe

"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"

Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
Wow. Kusoma hawajui hata picha nayo hawaoini???
 
Hela ya mazungu ya unga haionekani mitaani,asante Magufuli,ni wewe.
 
Back
Top Bottom