Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Jamani....hakuna uozo ambao rais Dkt Magufuli ataufumbia macho. Hii nchi anaimudu. Hii nchi ina sheria nzuri sana, tatizo zilikosa msimamizi tu. Sasa msimamizi tunae na yupo very serious.

Du! Magufuli noma kwelikweli.

Wanafiki bwana si ndio nyie mkiongozwa na dada yenu Faizafoixy mishipa ya shingo mlikuwa mkiikaza kwa kutetea madudu jama au na nyie mmeokoka? Mwanangu kua uyaone.
 
Kweli President wetu....sio CCM maana ya ccm hatuyasikii....ni President JPM tu. Safii sana ndo maana wakati wa kampeni alinadi Tz ya magufuli!
 
hata Mimi naona hiyo dalili.tusishangae siku tukiona post/sred za kina faiza foxy au Ritz wakikosoa harakati za mwanasisiemu mwenzao magufuli.

bado mpaka sasa sijaona wakionyesha mahaba yao kwa magufuli kama walivyo onyesha kwa Kikwete.

Tatizo ni uhusiano uliopo wa kiimani kati ya Pope Francis na Ukatoliki..nafikiri umenielewa.
 
pia utitiri wa mawaziri wengi hauna tija, kama alivyosema atapunguza baraza lake la mawaziri!
 
Tatizo ni uhusiano uliopo wa kiimani kati ya Pope Francis na Ukatoliki..nafikiri umenielewa.

imekula kwao mazima mazima.kwa spidi hii sidhani kama tz itakuja tena kuongozwa na "mswahili wa pwani",labda mswahili kutoka mikoa ya bara.bila shaka umenielewa hapo kwenye " mswahili".
 
Mawaziri hua mbona hawana kazi.Hivi ni vyeo tu vyenye nia ya kulinda mamlaka ya chama.Makatibu wakuu wanatosha.Wapewe mamlaka tu.
​acheni ujinga saa nyingine hata nchi kubwa kama marekani nayo inamawaziri sembuse tz
 
We utakua umelewa viroba nn aendelee kwamsingi gani? kwa hizi Kanumba anazofanya au
 
Na hivyo ndivyo inavyopaswa. Tanzania kwanza mengine baadae
 
12278995_10207957040033147_6018308025795327633_n.jpg


Fanya Ufisadi Uone.
 
nyie wote mnaomsifia magu mtarudi hapahapa kumkashifu muda si mrefu....maana wabongo huwa hawakumbuki kabisa...jk alipoingia 2005 moto wake ulikuwa ni zaid ya magu,aliweza kukimbiza majambazi kwa chopa...lakini leo kiko wapi?
 
Sisi wananchi tupo pamoja nanyi viongozi wetu waandamizi,mbele kwa mbele mpka kieleweke.
Nchi yetu imechelewa sana.
 
Back
Top Bottom