Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

nyie wote mnaomsifia magu mtarudi hapahapa kumkashifu muda si mrefu....maana wabongo huwa hawakumbuki kabisa...jk alipoingia 2005 moto wake ulikuwa ni zaid ya magu,aliweza kukimbiza majambazi kwa chopa...lakini leo kiko wapi?

Vengu,
Hebu Taja mambo walau matatu ya JK unayoyaita moto,unayoweza kuyali nganisha na Mh, magufuli honourable president of the United Republic of Tanzania.?
 
Heshima kwake rais wa nchi nzuri mno JMT,lakini suala la kuvunja katiba yetu hapana ila kuiboresha/kufuata tume ya mzee wa haki Joseph Sinde Warioba.Miaka 10 itatosha kuitendea haki nchi yetu na kuacha njia za kudhibiti wezi hata akimaliza zamu yake.MUNGU umlinde rais wetu JPM na wasaidizi wake waaminifu.
 
1.naona wawekezaji wengi wakifunga makampuni yao na kukimbia nchi

2.naona mzunguko wa pesa ukipungua kwa kasi kikubwa

3.naiona tanzania yenye watumishi wengi wa uma wakiwa na maisha duni

4.naona biashara nyingi zikidoda(manunuzi kupungua)

5.naona watanzania wengi wakikimbilia vijijini baada ya kushindwa kuishi mjini

6.naona ajira kwenye mashirika binafsi zikiwa adimu sana kuliko za serikalini

7.naona shilingi ikiimarika lakini maisha kuwa duni sana

8.naona ongezeko la wizi,makahaba,watoto wa mtaani na mateja

"HIKI NDICHO NINACHOKIONA MIMI...SIO LAZIMA UKUBALIANE NA MIMI"
 
Kuanzia number moja hadi nane umepatia lakini umeandika kwa kinyume.
 
...

...ha ha ha hiyo ndiyo staili ya kifo cha sisiemu mwenye Nyundo aongeze kasi 50 years ???
 
Naweza kukukaribia au kufanana nawe umri lakin nakupa shikamoo kwa haki unayotutendea asubuhi na mapema ya utawala wako.Tulipo mshukuru MUNGU kwa kutupa rais kwa kutumia akili zatu na matakwa yake wenzetu wakatukukana sana eti unaigiza nawe wapenda rushwa. Ahsante maana matendo yako yanathibitisha kauli zako. MUNGU uliyemwomba na kujiapiza kwake kuwa utatutumikia akulinde maana ana nguvu kuliko shetani wacha hizo taka taka changa ziitwazo wezi ikiwa ni sehemu ya watumishi wake.

Thibitisha kipindi chote cha utawala wako kwa kuwapa haki hata waliokukataa bila kuwabeba waliojisogeza kwako ili wanufaike.Thibitisha kuwa Tanzania ingali na watu wasafi,haihitaji kuomba omba bali kusaidia maskini wengine.Tukumbushe kula chakula chetu maana wengine wanaona kula mhogo ni ushamba bali "burger" ili tujue wana fedha.

Ahsante MUNGU kusikia kilio chetu.Shukrani kwa MUNGU wangu ni sehemu ya maisha yangu.Tanzania bila wizi na rushwa inawezekana bila msaada wa wazungu.
 
Natamani hao wakazibue chemba za wahindi pale k'koo 9dec
 

mtoa mada ww ni mjinga,mtu akifanya vzr lazima asifiwe na akifanya hovyo alaumiwe kanuni ni hiyo pekee.unataka Ukawa wafanye nn,a cha ukihiyo.
 
Bado sana...tunataka kuona vision ya uchumi kukua. Atawafanya nini wazungu walogawawa migodi bure
 
nyinyi subirini mtakuja sikia hayo makontena ya akina nani isije yakawa yamo na akina fododo
 
mtoa mada ww ni mjinga,mtu akifanya vzr lazima asifiwe na akifanya hovyo alaumiwe kanuni ni hiyo pekee.unataka Ukawa wafanye nn,a cha ukihiyo.
Nadhani wajinga ni wale wametuambia hawamtambui Rais Magufuli halafu wanaingia bungeni kupiga kura ya kumthibitisha Waziri Mkuu, Majaliwa aliyeteuliwa na Rais ambaye hawamtambui kama Rais wa Tanzania.
 

Mtetezi na Mkombozi wa Watanzania..Kiongozi mwenye Hofu ya Mungu..Kiongozi Mwenye Nia ya Kuileta mabadiliko. Rais John Magufuli.
 
sasa u unakataa kuwa magufuli hafanyi walichotaka UKAWA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…