Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

"An idea that doesn't work out in practice".
Hahaha kama kua nchi ya viwanda na kufika kipato cha kati. kua Donnor country kwa wazungu.
 
Wasalaam, kuna msemo unasema" hakuna binadamu aliekamilika". Nawaomba watanzania tujaribu kutafakari, pamoja na mapungufu( ya kibinadamu) tumuunge mkono rais wetu ktkt miaka yake atayotawala kwani anania njema, ni mkweli, ni mzalendo, na kubwa zaidi ni mtendaji( ana uthubutu wa kukemea na kuonya hadharani. Tumpe sapoti naamini kwa uzalendo alionao atapong'atuka atatuachia KATIBA nzuri kwa kuruhusu wananchi waiandike upya na yeye ataisaini hata kwa hati ya dharua. Naamini mh Rais Magufuli ana nia njema na sisi watanzania wote. Amekua akisisitiza MAENDELEO HAYANA CHAMA, tumpe nafasi. ni wakati sasa wa kufanya kazi na kumwombea afya njema.

Mungu ibariki JMT.
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakaeunga mkono mauaji ya Wanyantuzu 100 ukwepaji wa kodi wakati taasisi za dini zinawekewa zengwe,hakuna Mtanzania atakaemuunga mkono mtuhumiiwa wa kupanga kumuua Mtanzania asilia(Tundu Lissu) na mzalendo wa kweli,labda awe amehongwa na wajivuni wa CCM
 
Avunje kwanza kundi lake la kuteka,kupoteza na kupiga watu risasi
 
Duh! Hilo la Membe na sherehe za u-PM nilikuwa sijalinyaka bado ingawaje nakumbuka wakati ule Membe alitajwa tajwa sana kwenye uwezekano wa kuwa PM! Kama kumbukumbu zangu kama zipo sawa, nadhani nami nilikuwa ni miongoni mwa hao walioutarajia u-PM wa Membe!!

Ila kuna jambo moja bado hadi kesho nakumbuka! JK alipomtaja EL kama PM, ndipo nami nikazinduka na kujiuliza ilikuwaje sikumtilia maanani EL wakati kwa kipindi kile ilikuwa ngumu sana kumtenganisha JK na EL!

But again, I was shocked kuona hakupata nafasi yoyote ya Uwaziri zaidi ya ile ya unaibu! Nadhani JK alifurahi sana Dr. Asha Rose Migiro kwenda UN manake hatimae akapata fursa ya kusawazisha na kutoa nafasi ambayo Membe aliitendea haki!

Halafu la huyo mama... duh! Hebu nimegee kidogo!
 
Mwanzoni alionekana kama rais bora kabisa. Tatizo lilianzia pale alipoanza kubagua wananchi wake hasa kwa misingi ya itikadi kinyume na katiba aliyoapa kulinda.

Huwezi kulazimisha watu wote kukubaliana na itikadi ya chama chako, kama ambavyo watu hata wa ukoo mmoja ni vigumu kuwarundika kny dini moja. Wenye itikadi tofauti na yake anawaona maadui. Hata viongozi wa dini wakimkosoa, wanaonewa kuwa siyo raia, nk

Kwa sasa hata sanduku la kura haliheshimiwi tena
 

LEO UKATUBU KWA HAYO UNAYOWAAMBIA WATANZANIA.NA UACHE TABIA ZA KUJIPENDEKEZA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…