Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
una akili nying sana....safi..Nimescrow nikakoment ila sijasoma hiyo habari.
unaenda wapi[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Jiwe hutokana na mwamba.Mwamba huu upo katika kila pembe za Dunia.Mwamba ukipasuka vipande vipande huunda Mawe Ambayo nayo yakivunjika vunjika huunda vipande vidogo vidogo zaidi vya mchanga tena vya aina mbalimbali tunavyoita Udongo ambao ndio ardhi hii tunayoishi sisi binadam.
Nimeona thread nying hum Jukwaani watu wakimfananisha Rais wetu na mwamba huu ambao huwa katika ugum wake kiasi kwamba kwa mikono ya mwanadam bila kutumia nguvu ya kutengeneza hauwezi kuupasua wala kuuvunja.HAKIKA nakubaliana na wanaomwitwa hivi Rais wetu maana amekuwa ni mgum,mgum,mgum.... ((((Nkonk...Nkonk...Nkonk....kwa msim wa sasa wa kizazi cha Insta wanasema)))
Ugum wake hakika umejidhihirisha katika maamuzi yake magum ya kukwepa maslahi binafsi na kuzingatia maslahi ya MASKINI wasiokuwa na SAUTI awali.HAKUNA haja ya kuyataja,mwenye akili anaelewa.
Ugum katika kuwadhibiti wazandiki waliokuwa wanajichukulia Mali katika nchi yetu ni ugum ambao kwa sasa tunaona Rais wetu kauvaa bila hofu wala UOGA na leo hii Tanzania sio nchi ya kuingia na kutoka kama Chama Flani kilichoonyesha ulaini sana kama kifuu cha nazi kwa kuacha Itikadi na misingi na kuwakumbatia Vibaraka wa wazandiki hawa.Naona hum Jukwaani wanamwita Jiwe,Nawaunga mkonom...ni Jiwe Haswaaa...
Kwa HAKIKA Jiwe hili haliwezi kuvunjwa na vifuu vya Nazi ambavyo Labda baadae kwa kutumia sayansi ya Viumbe visivyo vya sayari hii wanaweza labda kutumia vifuu hivi kutengeneza machine itakayo Pasua Jiwe hili.
. .....
Acha watunyime misaada,Acha watuite majina Mabaya na Kutuchafua,
ILA UJAMAA wetu
KuJITEGEMEA kwetu,
Ndio MAENDELEO YETU.
Na bila Rais wetu kuwa Jiwe
Na wengine WALIMWITA Chuma awali......
Hatuwezi kupambana na Ukoloni Mambo Leo.
waulize wakwepa kodi wanaouza hisa zao.Waulize wafanya biashara wa korosho watakwambia Jiwe ni nani?Tz haina ubavu wa kutunisha msuli Mabepari juzi tu waliminya kutoa msaada wa ARV tukaanza kulialia we ngoja wakaze uone kama hatuombi poo.
Unaogopa kuitwa kifuu cha Nazi?Mkuu wewe mwenzetu uko kazini.....unaendesha maisha yako kwa hii kazi.....kwa hiyo haina haja ya kupingana wala kukubaliana na wewe.
Nazungumzia mabepari mkuu hawajawahi kushindwa, wamemng'oa Gadaffi aliyefanya kila kitu kwa wananchi wake, JIWE nani wamshindwe.waulize wakwepa kodi wanaouza hisa zao.Waulize wafanya biashara wa korosho watakwambia Jiwe ni nani?
Wtz sio walibya....Nazungumzia mabepari mkuu hawajawahi kushindwa, wamemng'oa Gadaffi aliyefanya kila kitu kwa wananchi wake, JIWE nani wamshindwe.
Issue ni kuwatunishia msuli mabeberu kama anavyojaribu JIWE. Ni kwamba hafui dafu ikiwa wataamua kumkazia na ikibidi wanatumia njia mbadala kama kilichotokea kwa Muamarri.Wtz sio walibya....
Kumbuka
Tukiwasapoti mabepari ni Kweli watatumia njia Mbadala ila tukimuunga mikono JIWE. ....naamini TutashindaIssue ni kuwatunishia msuli mabeberu kama anavyojaribu JIWE. Ni kwamba hafui dafu ikiwa wataamua kumkazia na ikibidi wanatumia njia mbadala kama kilichotokea kwa Muamarri.
Hahahaa! Ushinde una nini wakati unategemea karibu kwenye kila kitu, Ingekua rahisi hivyo Zimbabwe ingekua Half-London sasa.Tukiwasapoti mabepari ni Kweli watatumia njia Mbadala ila tukimuunga mikono JIWE. ....naamini Tutashinda
Ni kweli maana huyu si kiongozi ni Mtawala. Nasi tunataka kuongozwa siyo kutawaliwa.Pendekezo langu "ajiuzulu "awaachie viongozi
Ngoja Lissu aje tuone atakavyoumauma maneno,anaweza kuchukua credit (terminal mpya) ya kwamba Lissu kashukia kwenye uwanja wake wakati hata milembe hospitali wanajua ni uongo.Ni kweli maana huyu si kiongozi ni Mtawala. Nasi tunataka kuongozwa siyo kutawaliwa.