Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Tz haina ubavu wa kutunisha msuli Mabepari juzi tu waliminya kutoa msaada wa ARV tukaanza kulialia we ngoja wakaze uone kama hatuombi poo.
 

Mkuu wewe mwenzetu uko kazini.....unaendesha maisha yako kwa hii kazi.....kwa hiyo haina haja ya kupingana wala kukubaliana na wewe.
 
Tz haina ubavu wa kutunisha msuli Mabepari juzi tu waliminya kutoa msaada wa ARV tukaanza kulialia we ngoja wakaze uone kama hatuombi poo.
waulize wakwepa kodi wanaouza hisa zao.Waulize wafanya biashara wa korosho watakwambia Jiwe ni nani?
 
Poleni watumishi,hakika fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu
 
Issue ni kuwatunishia msuli mabeberu kama anavyojaribu JIWE. Ni kwamba hafui dafu ikiwa wataamua kumkazia na ikibidi wanatumia njia mbadala kama kilichotokea kwa Muamarri.
Tukiwasapoti mabepari ni Kweli watatumia njia Mbadala ila tukimuunga mikono JIWE. ....naamini Tutashinda
 
wewe ni kiongozi wa kupigwa mfano, mwenye maono na misimamo dhabiti juu ya yale unayoyaamini. kuna wachache wanakubeza kwa unayoyoyafanya kwa kuona kwamba hayafai lakini walio wengi hasa wale wenye nia njema na taifa letu wanakuhusubu na wapo nyuma yako kukuunga mkono kwa jitihada zako. Uungwaji huo mkono tumeushudia pia ukifanyaka kwa namna mbalimbali hasa kwa baadhi kuachana na vyama vyao na kujiunga na CCM, chama chenye sera za kutekelezeka.

Tumeona namna ambavyo umejaribu kutatua matatizo sugu katika taifa letu kama ukosefu wa tiba bora, ukosefu wa vifaa tiba na madawa, upungufu wa walimu na vifaa vya kufundishia na kukalia madarasani, ufufuaji wa mashirika ya umma yaliyokufa ama kuonekana kuelemewa, ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraji, kupunguza kwa kiwango kikubwa migogoro ya ardhi na ujenzi wa reli ya kisasa ya kiwango cha SGR. Hizi ni baadhi ya jitihada zako kati ya nyingi ulizofanya na unaendelea kuzifanya.

Wewe ni kiongozi mwenye maono 'visionary leader' ambayo huchoki kuwa mfano kwa wengine. juhudi na jitihada hizi unazoonesha kwa watanzania wanakupongeza sana na wapo pamoja nawe. Usikwazike na maneno ya wachache wanaojiahidi kubeza kasoro na kuacha kuona mengi mazuri yakifanyika. Duniani kote watu kama hawa wapo wanaopinga kila kitu kwa lengo la kuongeza ufahamu lakini kwa Tanzania wanapinga kila kitu hasa yale mazuri na huwa wanachukizwa sana na juhudi zako za kuleta maendeleo hivo wanapinga kwa sababu ni vibaraka wa mabeberu na wanawatuma wapinge kwa maslahi yao na hao mabepari.

NI vigumu sana kuongoza watu wanaokupiga na kuishi nao pamoja licha kuwaona wakikupinga hata kwa yale mazuri lakini wewe mheshimiwa rais umeweza hilo na unlikabili kwa akili kwa maslahi mapana ya nchi yetu, nakupongeza sana kwa hilo. wasaliti wanatoa siri kwa mataifa mengine ili kuihujumu nchi yao bila kujua kwamba wanajaribu kukata kuti ambalo nao wamelikalia. wengi wamekuwa wakienda kinyume na malengo na wengine kujitoa kabisa jumlajumla na kuwa makuwadi wao kwa maslahi yao binafsi.

bandiko hili halijataja mtu yeyote na haliuhusiani na mtu yeyote na mhusika mkuu wa bandiko hili ni rais pekee. Nawakaribisha wanajukwa kushare nanyi pongezi zenu kwa kipenzi chetu , mzalendo na mjamaa dkt Magufuli.

FPT 2040


k
 
Pendekezo langu "ajiuzulu "awaachie viongozi yeye atafute kazi zinazomfaa kama zile za mkuu wa uchinjaji kule vingunguti.
 
Ni kweli maana huyu si kiongozi ni Mtawala. Nasi tunataka kuongozwa siyo kutawaliwa.
Ngoja Lissu aje tuone atakavyoumauma maneno,anaweza kuchukua credit (terminal mpya) ya kwamba Lissu kashukia kwenye uwanja wake wakati hata milembe hospitali wanajua ni uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…