gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Safi Polepole wewe ni jicho kali la 'kike' lenye kuona maamuzi ya kiume!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi Polepole wewe ni jicho kali la 'kike' lenye kuona maamuzi ya kiume!
ajabu huyo huyo muzungu akija kwenu ccm na na vipande vya pesa mnamuita mwanaume, na mnamnyenyekea na kumsifuChadema, siku zote hufanya maamuzi ya kike, kukimbilia kwa Mwanaume (Muzungu) mwingine kushitaki!
usishangae hivyo, ndio maana akitoka mtu chadema na kwenda ccm analamba uteuzi haraka. kama wanaweza kumshawishi meya/diwani kwa ahadi ya milioni 200 unategemea kuwa huko ccm kuna watu wenye akili kweli?Hahaha!! watakua hawajui pakwenda au wanakua wamelewa pombe, ila tukirudi kwenye mada Mh Magufuli ndiye kiongozi wa nchi, amiri jeshi mkuu, Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kulinganisha mafanikio yake na maamuzi yake na ya wanachadema ambao hawana maamuzi yyte juu ya nchi sidhani kama ni sahihi sana kwa kweli otherwise Chadema wsliwahi kuongoza nchi kabla sijazaliwa.
CCM = Chama cha Makorosho.Chadema, siku zote hufanya maamuzi ya kike, kukimbilia kwa Mwanaume (Muzungu) mwingine kushitaki!
Nafisi yake inamsuta Sana. Kwani anajua anayoyatetea Siyo sahihi. Hivyo anasubuliwa na karma.Huwa kila nikimsikiliza Polepole naona ana kasoro fulani hivi!
Mh mkubwa akosei kaka akikosea lejea kauli kwambaMaamuzi yepi hayo?
1. Alikuta petrol Tsh. 1800/Lita sasa hivi 2500/lita
2. Alikuta sukari Tsh 1500/kg sasa mpaka Tsh 3000/kg
3. Alikuta watu wanaishi nakuitana ndugu, sasa hivi tunaulizana .... Kama ccm Mimi siendi kumzika
4. Alikuta uhasama kati ya makabila na ukanda haujashamili, sasa hivi nikutoka kwakwe mpaka uwanja wa ndege
5. Alikuta bunge linapanga budget .....sasa hivi yeye ndo mipango yote!!!!!! Bunge nikibogoyo
6. Alikuta mahakama walau kiasi INA Uhuru flani, sasa hivi yeye ndie mfungikia watu kesi, na yeye ndo anaamua ..... Mfunge huyo
Sijuwi tuendako kama sio shimoni
Kwa hiyo wengime waliomtangulia walikuwa wakifanya maamuzi ya kike siyo?
Kama maamuzi ya kiume ni kutujazia wanyarwanda mpaka kwenye serikali za mitaa, ni sawa!
Ungeanzia na Mwalimu Nyerere kwanza, kwani alikuwa ni Mnyarwanda!
hakuna mwenye shida nayeMagufuli rais wetu inabidi awekewe ulinzi mkubwa na mkali. wako watu wamekaa mkao wa kutaka kuhujumu kila kitu..
spidi gani wakati taifa limejaa wogaTuwe makini jaman km mtu kaifanya poa lazima tumsifie na sio kwamba kua mpinzan kila kitu unapinga, binafsi hongera sana Raisi wetu kwa hii spid "MOTO PAMBA PASI"
Unauhakika?Haya tumekusikia imemfikia buku 7 inakuhusu
Umetoroka Milembe hospitalAngalia mafisadi wanavtotapatapa walikuwa wameshageuza nchi kama kijiwe. Money laundering ilikuwa kama ibada.
Yaani siamini mpaka akina kimei wamebanwa mpaka eanatumia pesa walizoiba au walizopata kimagumashi angalau kuwanusulu wenziwe.
Aise kikwete alitaka kuiuza nchi kabisa wala alikuwa hajali ilimradi rafiki zake wanafaidi tu.
Mpaka akina hawa ghasia walifikia hatua ya kudhani hili ni shamba lao peke yao ndo mana hata mme wao alifanya namna yoyote jk amteu kuw barozi nje akale kama ndugu zake wengine walivyokuwa wanakuala.
Angalia akina nape walivyokuwa wanafaidi korosho kupitia migogo ya wakulima na hakuna aliyekuwa anajali