Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Naam! Siku hizi ulinzi wake umeghubikwa na maswali. Kwanini apewe ulinzi wakati mkali vile wakati yupo nchi ya amani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda unaongea.
Magufuli rais wetu inabidi awekewe ulinzi mkubwa na mkali. wako watu wamekaa mkao wa kutaka kuhujumu kila kitu..
 
[emoji848] [emoji848].
mi mwenyewe nimeshaanza kumuona kikwete FISADI PAPA!Inamaana haya madudu anayoyaibua Magufuli sasa hivi yeye alikua hayaoni?!nachelea kusema kwamba Kikwete alituhujumu wananchi hasa sisi wa kati na chini
 
[emoji848] [emoji848] walikuwa mafisadi au?
 
Bwana we!
 
Kabisa.
bila shaka kikwete and co wanajisikia vibaya sana kuona jamaa anavyo wa-prove wrong ktk utendaji wao.nina shaka hao ndio watakuwa wa kwanza kupanga mikakati ya kishetani ya kummaliza.magufuli my president be extra carefully.
 
Kweli mkuu Ccm wamerudisha imani kwa watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…