Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Viva JPM.
 
Magufuli anafanya vitu ambavo watu walifikiri haviwezekani. Magufuli aongeze kasi tu na a keep pace, ataheshimika mno kimataifa. Wazungu mpaka watasafiri kuja kumuona huyu Magufuli ndo nani.
Hataki kuwafuata na kila siku wao ndiyo wanakuja.

Viva President.
 
Asante kwa sapoti.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Kodi ni lazima.
 
Natangaza kurudisha kadi yangu leo tarehe 3 ~12~2015 ya chama changu pendwa cdm kutokana na utendaji unaoendelea ndani ya Serekali ya JMP, ccm hoyeeee!
Safi sana kwa kuwa upande sahihi.
 
[emoji109][emoji109][emoji123][emoji123][emoji123]
 
We can [emoji123][emoji123][emoji123]
 
Strong leaders ndio kila kitu. Ndio maana niliona upuuzi kupata katiba mpya. Hii hii tuliyonayo ikipata jembe la ukweli mbona mambo yanaenda tu.
Hakuna haja ya katiba mpya ila uongozi makini tu unaweza kufanya katiba iwe kama mpya.

[emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109]
 
[emoji3][emoji3][emoji123][emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…