Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

hivii yale makinikia yetu pale bandarini veepeee[emoji12] [emoji196]
me nimeweka oda ya noah[emoji604] [emoji604] [emoji12] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: PNC
Miaka 3 ndege 6 lkn kumbuka maendeleo ya nchi yamesimama,ajira imesimama,kupandisha vyeo imesimama hata swala la kikokoyoo lisingepigiwa kelele ingeleta ndege nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..tangu tununue ndege tumepata FAIDA kiasi gani?

..au tangu tununue ndege serekali imetoa RUZUKU kiasi gani kwa ATCL?

..Je, CAG atatupa majibu ktk taarifa yake inayokuja?

Au atazuiwa kukagua mahesabu ya ATCL?

Cc chige
 
Hakika Rais Magufuli ana uthubutu ambao sijawahi ona...

Kila nikitafakari amewezaje kuyafanya haya kwa muda mchache hivi, tena kwa fedha zetu wenyewe naona watangulizi wake walikiwa wazinguaji sana...

Hapo bado 8 ways, stigler gorge na SGR. Hakika Mungu ampe maisha marefu Rais wetu
 
Kwani hazikuwepo mbwa nyie.

Zilikuwepo ziko wapi sasa...

Atleast kwa Mheshimiwa Rais Mali za umma zimeanza kuogopwa kama ukoma, kwa upande wa pili naona waanzilishi wake walikuwa wazembe kiasi...

Kwa hizi za sasa na imani zitashuhudiwa na wajukuu zetu..
 
Mkuu huu uzi wako ni mzuri lakini utasogea taratibu. Wadau humu ndani akili zao wamezipeleka kwenye mada za CAG na Ndugai.
 
Acha ushamba, fedha ambazo zingeajir wafanyakaz wapya na kupandisha madaraja waliopo ndo zimetumika kununua ndege, ni sawa na ww upunguze kunywa bia ili upate pesa ya kununulia iphone 7. Ni reallocation of funds tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Reallocation of funds, umetumia neno sahihi kabisa. Miaka ya JK bunge lilikuwa linaidhinisha mabilioni kwa ajili ya chai, unabaki kujiuliza hivyo vikombe vya hiyo chai ni vya dhahabu!.
 
Wastaafu wamekatwa mafao yao, watumishi hawajawahi panda vyeo toka JP awe mkulu, hamnaga annual increment ni kodi kila kona mwisho wa anasifiwa alietumia kodi zetu na siyo yule aliechangia kodi mpaka familia ikalala njaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huu uzi wako ni mzuri lakini utasogea taratibu. Wadau humu ndani akili zao wamezipeleka kwenye mada za CAG na Ndugai.

Hao bavicha akili zao zinaendeshwa na tetesi tu, wananchi wenye akili huwezi wasikia wakisema maana wanajua Magufuli ni mzalendo kwelikweli na amedhamilia kuifikisha nchi kwenye uchumi wa kati...
 

Sio Gavana Shilatu tena?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu"
-Warumi
 
Presidaa madege,
Tutamkumbuka daima kwa midege yake isokuwa na tija ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…