ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mwaka wa nne huu walahi, bado mpo na ngonjera tu za kupendwa walahi, baba yenu hana kazi walahi kazi yake ni kuzindua matundu ya choo na kuita watu nyumba nyeupe walahi kujisafisha, anapenda kuwa live yeye tu alafu wananchi kawazimia local chanels WalahiMagufuli anacheza huu mchezo vizuri sana.watanzania wameanza kurudishiwa siha zao katika nyuso zao.watanzania Wana akili Sana wanapenda Sana kuambiwa ukweli na bahati mbaya miaka ya nyuma kidogo hapa wamedanganywa hatimaye Sasa wamempata Rais asiyeficha kitu.mnaomia roho raisi anapoeleza ukweli endeleeni kuumia hivohivo.
Kweli kabisaMwaka wa nne huu walahi, bado mpo na ngonjera tu za kupendwa walahi, baba yenu hana kazi walahi kazi yake ni kuzindua matundu ya choo na kuita watu nyumba nyeupe walahi kujisafisha, anapenda kuwa live yeye tu alafu wananchi kawazimia local chanels Walahi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeamua kuanzisha ID yenye jina la ISIS ili iweje.umchafue mwenzako acha uzuzu wewe huna akili usidhani Kama utatuchanganya.Mwaka wa nne huu walahi, bado mpo na ngonjera tu za kupendwa walahi, baba yenu hana kazi walahi kazi yake ni kuzindua matundu ya choo na kuita watu nyumba nyeupe walahi kujisafisha, anapenda kuwa live yeye tu alafu wananchi kawazimia local chanels Walahi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza huyo muhuni anaandika kijinga sana anaonekana ni mtu wa hovyo hovyo, mwenye ID yake ni smart sana.Umeamua kuanzisha ID yenye jina la ISIS ili iweje.umchafue mwenzako acha uzuzu wewe huna akili usidhani Kama utatuchanganya.
Walahi kwishney walahi juhudi za jpm zinawatao jasho machadrama walahiUmeamua kuanzisha ID yenye jina la ISIS ili iweje.umchafue mwenzako acha uzuzu wewe huna akili usidhani Kama utatuchanganya.
Kweli walahi, ila huwezi kuwa smart wakati unaishi kwa kutegemea 7,000 walahiKwanza huyo muhuni anaandika kijinga sana anaonekana ni mtu wa hovyo hovyo, mwenye ID yake ni smart sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ili uwe mshabiki wa jiwe ni lazima uweke kimba kichwani walahi ndio hawa akina ndege john walahiAisee acha kuudanganya umma!
Wafanyakazi hawana furaha
Wafanyabiashara wanalia
Wanasiasa wapo hoi
Huyo mwenye furaha ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwiii hahaha machadema mmepanic walahi viva jpm walahiUmeamua kuanzisha ID yenye jina la ISIS ili iweje.umchafue mwenzako acha uzuzu wewe huna akili usidhani Kama utatuchanganya.
Yaani hakuna mi namwona ni yuleyule tu..! Hovyo kabisa!Kwanza huyo muhuni anaandika kijinga sana anaonekana ni mtu wa hovyo hovyo, mwenye ID yake ni smart sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamwona tena hapa??Walahi kwishney walahi juhudi za jpm zinawatao jasho machadrama walahi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha wanafiki ndio walivyo hupenda sana kusifiwa kuliko kukosolewaMwaka wa nne huu walahi, bado mpo na ngonjera tu za kupendwa walahi, baba yenu hana kazi walahi kazi yake ni kuzindua matundu ya choo na kuita watu nyumba nyeupe walahi kujisafisha, anapenda kuwa live yeye tu alafu wananchi kawazimia local chanels Walahi
Sent using Jamii Forums mobile app
anazingua kinoma yani Mimi anani......Unamwona tena hapa??
Nadhani madaktari wamekosea kumruhusu mgonjwa kutumia simu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakufanyaje mkuu walahi? Isijekuwa usodoma walahi!anazingua kinoma yani Mimi anani......