ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Magufuli anacheza huu mchezo vizuri sana.watanzania wameanza kurudishiwa siha zao katika nyuso zao.watanzania Wana akili Sana wanapenda Sana kuambiwa ukweli na bahati mbaya miaka ya nyuma kidogo hapa wamedanganywa hatimaye Sasa wamempata Rais asiyeficha kitu.mnaomia roho raisi anapoeleza ukweli endeleeni kuumia hivohivo.