Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Unachofurahia Ni kuona eti "Raisi hajazungumza kwenye vyombo vya Habari takribani mwenzi mzima."
Na kua Eeeti; anawatumia Mama Samia na Mawaziri wake na hususani Waziri mkuu Majaliwa."

Q Are
you trying to say kua Mheshimiwa Rais alikua hafurahishi pale alipokua akizungumza yeye wenyewe badala ya kuwatumia?.
 
Hii kampuni itakuwa na roho ya korosho, watamuingizaje kingi jiwe letu?
 
lile vumbi la Lissu kule majuu ni chloroform tosha!!
 
JPM akihutubia lazima mtu ang'oke sasa ni zamu ya Mama samia na Pm kufumua madudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…