Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania


Trump ni nani kwa Africa?
Trump akikusifia ujue uko kwenye totally wrong direction ndugu yangu!
Acha ukibaraka mambo leo!
 
Uwiii
Niko mwenyewe jamani
Duh, nilifikiri umenimiss
eh eh nmekumiss halafu hv weye mrembo eh? nashangaa unawezaje ingia top ten ya like umeanza mwaka 2016 wakati vikongwe tumejoin 2011 hata top 100 hatupo na tunapost kila siku ah ah au unanunua like nn
 

Mbona inchi za wenzetu wanasifiwa sana na hatusikii makelele kama sisi

Sisi hadi kusalimiwa tu basi ni habari
 
Ama kwa hakika awamu hii ni ya kipekee kabisa.
 
eh eh nmekumiss halafu hv weye mrembo eh? nashangaa unawezaje ingia top ten ya like umeanza mwaka 2016 wakati vikongwe tumejoin 2011 hata top 100 hatupo na tunapost kila siku ah ah au unanunua like nn
Hahahaha
Si umeniita mrembo?
Malkia wa nyuki, nipe likes ule asali walahi
 
Ama kwa hakika awamu hii ni ya kipekee kabisa.

Mzee Mkapa alipokuwa rais alipenda kutumia maneno ya wimbo mmoja wa dansa wa enzi za ujana wake, 'wewe mtoto wacha kupiga mayowe, waache watu waone wenyewe' Na mwaka jana kwenye African Leaders Forum nchini Rwanda alizungumza kwa hasira na kusema "African Leaders are extremely selfish and short sighted; their major preoccupation is now and here". Methinks pamoja na kwamba alikuwa akizungumza kwa ujumla lakini alikuwa akitumia viongozi wa nchini kwake kama mfano hai.
 
Hapa ufipa hawaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuwasilisha waungwana


Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.

Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele


Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020

Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma

Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna majuha tanzania ni watumishi wa serikali including you! if you are one of them anyway!
 
Sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha Maradufu watu wameshateseka vya kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…