Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mkuu usijaribu kudharau hata kidogo watumishi wauma. Ni watu waliojitolea kufa masikini sababu yako. Isingekuwa watumishi wa uma we hata kuandika usingekuwa unajua, ungekuwa ushakufa kwa magknjwa, in short kila kitu mtumishi wa uma anahusika kwako. Mabarabara nk. Nakuona mjinga na nusu kwa kutukana watu wanaokufanya uishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni propaganda za kijinga tu.
 
Mkuu kuna sehemu katika andiko langu nimetukana watumishi? Au sijaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Acha ujinga ujinga na ndoto ndoto kila siku.. Watumishi wa umma washaumizwa. Atakaebaki kufanya kazi serikalini ameyataka mwenyewe
 


Unaota ww
 
Reactions: BAK
Naona Mashetani yakianza kujikombakomba kwa akina pangu pakavu ili wapate dhamana ya kuongoza tena 2020/2025
 
Unajua maana ya maradufu kweli wewe au umejiandikia tu kama mlevi wa chang'aa?
Loyalty To country Always,To government When it deserves
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…