Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

rais yupi wa kupandisha mshahara mara dufu?!

pesa atatoa wap??

kwani yaliyosababisha akwame kupandisha miaka iliyopita asha yamaliza??!

unataka kuniambia mwenye kupokea milion 1 atapokea 2.

labda nikuulize kwa sasa mishahara tuu ni billion takribani 500 unamaanisha sasa itakua trillion 1??

msipende kuandika kimahaba! sio kila mtu wa JF ni juha!!
 
Ujinga ujinga
 
Hiyo nyongeza ya mishahara mbona haijaonekana kwenye bajeti ya 2019/2020 inayopendekezwa? Nyongeza hiyo kama ipo ilipaswa ionekane Kwanza kwenye mapendekezo ya 2019/2020.

Anyways, humu kuna maafisa Masuhuli na Budgeting officers watakuja kusema nyeupe na nyeusi kuhusu hilo.
 
Anapandisha kwasababu ameona uchaguzi unakaribia hivyo anatumia kudanganya toto ili apewe chakula akisha shiba ataanza visa na madharau kwasasa atanyenyekea kama mtoto mdogo. Usichezee tumbo ww
 
ushauri wako ni UPI Mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hujaelewa statement yangu ya mwisho "watakaobaki wameyataka wenyewe"? ACHA KAZI SERIKALINI. Ni lazma kuchukua hatua kujinusuru..
Kuna jamaa alikuwa mwalimu sekondari alichukua hatua na kuanza kuwa land broker na baada ya mwaka tuu kaacha kazi serikalini.. Kuliko kulalamika ni vyema kujinusuru
 
Hamna upumbavu mbaya kama huu, kupongeza tetesi
 
Ameacha kazi awe dalali wa viwanja. Hii kazi ya ualimu unaweza ukaifanya na ukawa dalali pia. Unless umeanzisha real estate company na una mtaji mzuri. Ila kama ni Ile ya kawaida ya kutaka 10% sababu umeonyesha kiwanja kuna changamoto nyingi zinamsubiri atatakiwa azitatue ili afanikiwe.
 
uchaguzi umekaribia..
mimi nafuu muweke mbwa 2020 nitampigia kura..
atasaidia ulinzi nyumbani..
nahofia kutekwa na magaidi wa kihutu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana wewe chuki yako kwa Rais Magufuli hata kusheherekea Taifa Stars jana hukuweza?
Hayo yote ni matokeo ya mtu anaye jali matendo na vipaji vya binadam wenzake.

Kama hukufurahi na sisi jana basi wewe sio mzawa na hustahili kuitwa mtanzania. Kama una vitambulisho vya utanzania basi ni fake au hujavipata kwa njia ya kihalali. Ni vyeti batili! Only in case!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…