Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Akifanya hivyo litakua jambo jema, na atakua amekwepa mkuki wa kuzodolewa 2020 kwenye kampeni kuwa hajali maslahi ya watumishi.
Kabisa kaka turudi benki tena tukope tumalizie nyumba zetu za kukaa na zawapangaji na vibiashara maisha yaende.

Aongezee tu maana kuongezeka kwa mishahara kuna faida kwa wote mzunguko wa pesa hadi kwa wakulima wafanyabiasha utawafikia.

Pia JPM aongezee asiongezee mshahara atakuwa tu rais kwa hyo mwache tu atuongezee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe pundamilia unatakiwa usifie hilo swala baada ya kuona salary slip sii hivi hivi tu kindezi ndezi
Sifa za nini, wanao wajibu ya kuboresha maisha ya watumishi wao.
Na ni ujinga kwa mlisha mbwa kushinda njaa wakati mbwa wanavimbiwa.
Huo ujinga acheni pigeni kila fursa inapojitokeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini husisubiri wapanđishe kwanza huo mshahara ndo ulète uzi? Uzi kama hizi za tetèsi za kupandishwa mshahara na madaraja zilianzishwa nyingi tangu mwaka jana na hakuna kilichotekelezwa
 
ccm mmenyea kambi 2020 mnategemea kupata kura kutoka kwenye kundi gani la jamii nikiangalia makundi yote mmeyajambia kundi kubwa la watu wasio na ajira watawapigia kura? Ukija kwenye kundi la wafanya biashara mkawanyanganya mitaji mnategea watawapigia kura? Ukija kwa wakulima mliwanyanga koroshosho zao mbazi mahindi kahawa mnategemea kupata kura? Wafanya kazi wote kwa ujumla wakiwepo na umma nao mkawajambia tukija kwenye ahadi zenu hata 5% Viwanda na uchumi wa kati mkafeli badala yake mnanunua ndege mbovu kwa garama kubwa Elimu bure mkafali mkaona aitoshi mkajambia na uchumi wetu makaona haitoshi makambia na shilingi yetu 2020 hata mkiiba bado kura za upinzania ni nyingi sana jiandae kisakoloji
 
 
Elimu bure Elmu bure,huduma bora za afya,ujenzi Wa miundo mbinu vyote hivo vinaibeba CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna lolote wala chochote.

Mishahara keshasema sio kipaumbele chake. Yeye ni ujenzi na ujenzi. Iwe barabara, SGR, Umeme nk.

Haumizi kichwa kuhusu uchaguzi kwa sababu atatangazwa mshindi kwa vyovyote vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…