Hakuna lolote wala chochote.
Mishahara keshasema sio kipaumbele chake. Yeye ni ujenzi na ujenzi. Iwe barabara, SGR, Umeme nk.
Haumizi kichwa kuhusu uchaguzi kwa sababu atatangazwa mshindi kwa vyovyote vile.
Ameanzisha kampuni na kusaka partners south africa.. Mie nimetoa mfano tuu sio lazma nawe ufanye ila najua waoga wa maendeleo wako wengi.. Mtu yuko radhi akomae na mshahara wa laki nne hata ukimuonyesha njia.. kisa eti "job security" 😃😃😂😂.. Take risks and die trying or Keep your job and die poor
Naomba kuwasilisha waungwana
Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.
Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele
Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020
Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma
Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu bure ni uzushi mtupu Miundombinu mnatuambia hella za ndani kumbe ni mikopo yenye mashat magumu isio fata taratibu za ukopaji imetuongezea mzigo wa deni la Taifa kila Mtanzania anadaiwa milioni 4.3 unategeme kura kutoka kwa nani hapa ni Sera Mbadala na Tundu Lissu 2020Elimu bureElmu bure,huduma bora za afya,ujenzi Wa miundo mbinu vyote hivo vinaibeba CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu bure ni uzushi mtupu Miundombinu mnatuambia hella za ndani kumbe ni mikopo yenye mashat magumu isio fata taratibu za ukopaji imetuongezea mzigo wa deni la Taifa kila Mtanzania anadaiwa milioni 4.3 unategeme kura kutoka kwa nani hapa ni Sera Mbadala na Tundu Lissu 2020
Nusu bei bado imo kichwani inafanya kaziNaomba kuwasilisha waungwana
Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.
Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele
Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020
Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma
Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa umbea huu mmmmmhhh! hata kama kulikuwa na nia ya kuongeza mshahara ndio kabisa mnaharibu….hawataki la kuambiwa jamani!!Naomba kuwasilisha waungwana
Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.
Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele
Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020
Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma
Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa umbea huu mmmmmhhh! hata kama kulikuwa na nia ya kuongeza mshahara ndio kabisa mnaharibu….hawataki la kuambiwa jamani!!
Hii ni serekali ya kitapeli
Nakuamini sana tu. Ila hawapendagi kuonekana wamepata shinikizo toka kokote!! Hata hivyo hiyo source yako unaiamini kwa kiasi gani? just curious to know!!
Mkuu unajua maana ya maradufu?Naomba kuwasilisha waungwana
Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.
Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele
Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020
Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma
Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda misemo ya kiswahili imebadilika, labda maradufu lina maana nyingine zaidi na ninayoijua!rais yupi wa kupandisha mshahara mara dufu?!
pesa atatoa wap??
kwani yaliyosababisha akwame kupandisha miaka iliyopita asha yamaliza??!
unataka kuniambia mwenye kupokea milion 1 atapokea 2.
labda nikuulize kwa sasa mishahara tuu ni billion takribani 500 unamaanisha sasa itakua trillion 1??
msipende kuandika kimahaba! sio kila mtu wa JF ni juha!!
Chaguzi zipo mbele eti ahh !!Naomba kuwasilisha waungwana
Katika kipindi cha takribani miaka minne ya Mh.Rais watumishi Wa umma wamekuwa wakilia na kulalamikia nyongeza.
Naomba nikili kuwa si kweli kuwa mh rais aliamua kuzuia nyongeza kwa makusudi Bali ni kutokana na mipango mipana aliyokuwa nayo Mh.Rais katika kuhakikisha taifa linasonga mbele
Ili kuonesha kuwa rais wetu anajali masrahi ya watumishi Wa umma kuna taarifa nimepenyezewa toka chanzo cha kuaminika kuwa kilio cha watumishi Wa umma kitatatuliwa hivi karibuni ambapo Mh .rais JPM atapandisha mishahara ya watumishi Wa umma maradufu kwa mwaka Wa fedha 2019/2020
Naomba nitoe pongezi zangu za dhati kutoka kwenye uvungu Wa moyo wangu kwa Mh. JPM kwa hatua hii ya kuwajali watumishi Wa ummma
Viva magufuli,Magufuli for 2020-2025
Sent using Jamii Forums mobile app