Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kupika gongo ruksa
kuvuta bangi ruksa
upoteaji wa watu
2.4 Tillion
manunuzi ya wabunge na madiwan
😂😂😂😂 kwahiyo wamekaa wakashauriana wapike gongo wanywe(pombe), baada ya hapo wakavuta bange ya kushato baada ya hapo wakaamua kuwapoteza/ kuwatia lock(kufuli) watu baada ya hapo wakaenda kuiba 2.4Tril ili wanunue wabunge na madiwani wa upinzani.
Director wa hii movie ni noma aseee....😂😂😂😂
Jamani tuvute lakini wasituone🙈🙈🙈🙈🙈🙈
 
Kama zile tuition za mikoroshini[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waafrica ni wajinga.. tunaoenda sana kuonekana tuna pesa.

Ndio.maana utakuta kijana ana mshahara wa mil.1.. anaendesha harrier 6 cylinder.
Mko wangapi hapa? Wape milioni 10 hawa wagawane!
 
Kuifilisi mifuko ya jamiii,Nssf ,Psssf hadi sasa ukienda kudai mafao yako wanakuchekelea tu,serikali imekomba hela zote na haijarudisha hadi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…