Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Ndicho anachokitafuta Magufuli anataka ajenge historia akitoka awe amemaliza au kufanikiwa kabisa kwenye ishu ya miundombinu.
Treni ya umeme itatufanya tuishi kama ulaya hakuna haja ya kwenda nchi za watu wakati Tanzania nzuri ipo.komaa nao uache historia Mambo yako uliyoanzisha yadumu milele kizazi mpaka kizazi kazi zako zimekuwa makini awamu ya tano.hata ukijifanya mbishi lazima uelewe TU.
 
Safi
 
Ni kweli
 
Mwendawazimu, mwizi, fisadi, muongo, dikteta na MUUAJI na maendeleo wapi na wapi!?
He is a DISGRACE to the Country.

 
Labda watoto wako na wake watainjou matilioni yaliyoibwa kama ripoti ya CAG inavyoonyesha .
 
Labda watoto wako na wake watainjoi matilioni yaliyoibwa kama ripoti ya CAG inavyoonyesha .
 
Tulikuwa tukiomba na kusali kuwa Tanzania inatakiwa apatikane rais shupavu, mkali asiyecheka na nyani,mwenye kau dictator hivi n.k tulitaka sana rais wa hivyo.

Hatimaye maombi yetu yamejibiwa amepatikana na tayari anafanya yale ambayo tulikuwa tukitaka yafanywe.Hayumbishwi,hatishwi,hatetemeshwi. Anachapa kazi hajui kuuma uuma maneno.

Koleo anaita kolea na kijiko anaita kijiko. Watanzania tunataka nini tena?turudi nyuma kwenye biashara za madawa ya kulevya na kudanga? Hapana. Kamwe tusirudi huko.

Dr. Magufuli kamua baba, kamua...
 
Hakuna mafanikio yoyote ni uongo MTUPU!


Hii ni makala fupi inayoelezea mafanikio ya shirika la ndege la Tanzania la ATCL

 
Ni nani huyu mwanamke?
Huyi mama ni Msomi wa Kenya.

Biography yake ni hii.

Dr. Mumbi Seraki is a charismatic and strong African woman on a mission for a better Africa.
Dr. Mumbi Seraki has a PhD from the University of Nairobi in African Women Studies. Her research focuses on the evolving self-image of the African people with a special focus on African women. Her Masters was in Human Resources Planning from Webster University in Geneva, Switzerland, where she developed the expertise of helping people identify their purpose and prepare for their careers. Her undergraduate degree was also in human resources and international business, from Loyola University of Chicago



She worked for the United Nations for close to 7 years in Geneva, Switzerland before returning to Kenya to join the national broadcaster the Kenya Broadcasting Corporation (KBC) for a popular TV show Afternoon Live for 3 years before moving to Nation FM, a national radio station, to host the popular breakfast show State of the Nation.

Her life and career are committed to restoring the stolen identity of Africa and shining a spotlight on the mental and spiritual colonization that still oppresses her people. She is committed to changing the narrative around the beautiful and diverse continent of Africa while encouraging more home-grown conversations about her destiny and future.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…