Tunajenga kwa fedha zetu wenyewe. Kwani mkopo sio fedha zetu.? Ukikopa benki ujajenga nyumba hiyo nyumba unakuwa umejenga wewe au imejenga benki. Kuna tofauti ya msaada na mkopo ambao unaulipa.Ni kweli rais wetu hajui kuuma maneno, anasema tunajenga miradi ya maendeleo kwa fedha zetu wenyewe huku deni la taifa limekuwa kwa 20t+ ndani ya miaka minne. Rais wetu anasema akimaliza uhakiki wa vyeti fake atapandisha mishahara, saa hii anasema atapandisha kabla ya kutoka madarakani! Zile mbwembwe alizoanza nazo saa hii kafika mahali ndio anaujua ukweli huku ameshalikoroga. Simply bundle limekata.
Mkopo hauwezi kuwa fedha yako hilo ni deni lzm lilipweTunajenga kwa fedha zetu wenyewe. Kwani mkopo sio fedha zetu.? Ukikopa benki ujajenga nyumba hiyo nyumba unakuwa umejenga wewe au imejenga benki. Kuna tofauti ya msaada na mkopo ambao unaulipa.
Kamua baba usitumie hirizi,wakijisifu na kujigamba hata washikaji watawaona machizi..
Acha wivu.Ujinga bado tatizo kubwa Tanzania.
Yani anasifiwa kisa kununua ndege?
Aiseee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Tulikuwa tukiomba na kusali kuwa tanzania inatakiwa apatikane rais shupavu, mkali asiyecheka na nyani,mwenye kau dictator hivi n.k tulitaka sana rais wa hivyo.
Hatimaye maombi yetu yamejibiwa amepatikana na tayari anafanya yale ambayo tulikuwa tukitaka yafanywe.hayumbishwi,hatishwi,hatetemeshwi. Anachapa kazi hajui kuuma uuma maneno.
Koleo anaita kolea na kijiko anaita kijiko. Watanzania tunataka nini tena?turudi nyuma kwenye biashara za madawa ya kulevya na kudanga? Hapana. Kamwe tusirudi huko.
Dr. Magufuli kamua baba, kamua...
mm sijawai ombea hilo kwakweli.......jifunzeni kusemea nafsi zenuTulikuwa tukiomba na kusali kuwa tanzania inatakiwa apatikane rais shupavu, mkali asiyecheka na nyani,mwenye kau dictator hivi n.k tulitaka sana rais wa hivyo.
Hatimaye maombi yetu yamejibiwa amepatikana na tayari anafanya yale ambayo tulikuwa tukitaka yafanywe.hayumbishwi,hatishwi,hatetemeshwi. Anachapa kazi hajui kuuma uuma maneno.
Koleo anaita kolea na kijiko anaita kijiko. Watanzania tunataka nini tena?turudi nyuma kwenye biashara za madawa ya kulevya na kudanga? Hapana. Kamwe tusirudi huko.
Dr. Magufuli kamua baba, kamua...
kabla ya yote mkuu bado mnanitafuta au asaiv mmeniacha...
MAGUFULI KAPUNGUZA WADANGAJI MJINI
Sahivi hata tukiwa bar kweny viti virefu tunaheshimiana,,[emoji23][emoji23]
usiwasemee watanzania wengine, ni wewe na familia yako ndio mlikua mnataka rais dikteta.