mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Umesahau kuweka namba yako ya sim tuPamoja na jitihada 8 nyingi za Rais wetu Magufuli anazofanya ndani ya Nchi hii lakini bado kuna kikundi cha watu wachache kinabeza hizi jitihada.
Tumeshuhudia kwa mara ya kwanza Tanzania vigogo wote wa Rushwa kubwa wanapelekwa Mahakamani.
Tumeshuhudia kwa mara ya kwanza ile Mikataba yote mibovu ikifumuliwa upya,Madini, Bandari ya Bagamoyo na mingine.
Shirika la Reli lilikufa kabisa lakini sasa hivi limefufuliwa upya na kujengwa Reli kwa kiwango cha SGR
Tumeibiwa kwenye Umeme na mikataba mibovu na viongozi ambao sio waaminifu kupitia hizi(Power Plants)leo hii tunajenga mradi kubwa wa Stiegles Rufiji ambao utakuwa muarobaini wa Umeme Nchini.(MEGAWATI 2015.)
Nidhamu Serikalini imerudi kwa kiwango cha SGR
Muswada unaandaliwa mwaka huu kila Mtanzania awe na Bima ya afya
Na mengine mengi tu lakini pamoja na haya yote bado kuna kikundi kazi yake kubwa ni kutukana na kubeza hiji jitihada kubwa
Mh Rais Magufuli watanzania 90% wanatambua jitihada na Uzalendo wako uliotukuka katika kuwatumikia Wananchi wa Taifa hili
JPM KIOO TUELEKEACHO
Alex Fredrick
Kwenye uzi wako
Ova