sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 3,334
- 7,651
Juzi niliona Member wetu mleta mada za jikoni akileta swali la uchokonozi kuhusu kwamba umaarufu wa Magufuli umeisha duniani, hii hapa kwenye picha ni kundi la watu huko Namibia baada ya kumuona Magufuli anaanza safari za nje wameanza movement Magufulification of Naminia
View attachment 1109329
Mitaa imeshaanza kuwekwa Bendera na picha za Magufuli
View attachment 1109332
Naomba Link ya hilo group nijiunge