Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kwa sababu ya mapungufu yetu binadamu, hakuna kiongozi anayekubalika na kila mtu! Kwa mtaji huo basi, pamoja na kwamba kiongozi anaweza kuwa hakupata kura yako na alishinda kwa kura za watu wengine tu, huyo kiongozi ni kiongozi wako hata wewe usiyempenda. Labda uhamie kwingine, na sijui utahama mara ngapi!
 
Katika marais waliofanya vyema ni mzee wa msoga japo alikuwa na mapungufu mengi
 
We ndo lofa kweli! Yaani hadi leo hufahamu kwamba akiondoka ndipo akina nyie mtakavyojua huyu mnayemshangilia ni mtu wa aina gani kwa sababu hapatakuwa tena na mtu wa kuficha maovu aliyofanya! Mkapa wakati yupo madarakani alifikia hadi kujiita eti Mr. Clean! What happened baada ya kuwa ameondoka?!

Ndipo tukaja kufahamu mambo ya EPA!
Ndipo tukaja kufahamu mambo ya rada ambayo deal ilikamilika kwenye utawala wake!
Ndipo tukaja kufahamu issue ya IPTL ambayo kwa kiasi kikubwa ilivurundwa wakati wa utawala wake!
Ndipo tukaja kugundua amejiuzia mgodi wa makaa ya mawe kule Kiwira
Ndipo tukaja kufahamu wakati akiwa Ikulu alianzisha kampuni ya AnBen!

Hayo ni machache ya makando kando kadhaa ambayo Mkapa aliyafanya lakini kutokana na staili ya utawala wake; hayakujilikana! Sasa ngoja Magu aondoke madarakani uone hayo madudu! Sema ndo hivyo tena manake pamoja na madudu yote hayo ya Mkapa lakini kuna malofa utawasikia Mkapa was best president!!
Kwani kushangiliwa yeye ss inatuhusu nini? Ndo inapunguza au kuongeza nini kwako wewe kama wewe?
 
Kwani kushangiliwa yeye ss inatuhusu nini? Ndo inapunguza au kuongeza nini kwako wewe kama wewe?
Kama hujui inapunguza basi pole sana; tena sana na sidhani hata kama ukieleweshwa utaelewa manake huelekei kama ni mwenye kuelewa!
 
Rais MAGUFULI ameona umuhimu wa kuifufua njia za reli ambazo ziliachwa zijifie anafahamu na ameona umuhimu wa reli ktk maendeleo ya nchi yeyote duniani,Rais MAGUFULI anaweka umememe wa uhakika ktk kwa ajili ya maendeleo ya kweli,Rais MAGUFULI amenunua ndege ameifufua Atc iliyokuwa imejifia,kwa haya mambo matatu tunapotamka mageuzi ya kilimo na hata viwanda bila kuwa na haya mambo matatu kama msingi wa mageuzi itakuwa tunajidanganya kwa sababu tunahitaji umeme wa uhakika kwa ajili ya viwanda bila kujali ni viwanda vya kusindika mazao yatokayo mashambani ama kutengeneza bidhaa za kawaida,tunahitaji njia ya reli kwa urahisi wa kusafisha bidhaa za viwandani na hata mazao ya mashambani kutoka sehemu moja kwenda nyingine,hii njia ya reli ni rahisi kwa bei na hata ina uhakika kuliko barabara.tunapoongea utalii wa ndani na hata nje bila uhakika wa usafiri kwa njia ya anga tutakuwa tegemezi tusiokuwa na uhakika..hongera MAGUFULI,MUNGU akutunze.
 
Nitsashangilia saana utakapoRUDIHWA USAFIRI WA WARRANT kwa wanafunzi na watumishi wa serikali aisee na pia kuifufua reli ya Manyoni Singida na ile ya Arusha yaani
Rais MAGUFULI ameona umuhimu wa kuifufua njia za reli ambazo ziliachwa zijifie anafahamu na ameona umuhimu wa reli ktk maendeleo ya nchi yeyote duniani,Rais MAGUFULI anaweka umememe wa uhakika ktk kwa ajili ya maendeleo ya kweli,Rais MAGUFULI amenunua ndege ameifufua Atc iliyokuwa imejifia,kwa haya mambo matatu tunapotamka mageuzi ya kilimo na hata viwanda bila kuwa na haya mambo matatu kama msingi wa mageuzi itakuwa tunajidanganya kwa sababu tunahitaji umeme wa uhakika kwa ajili ya viwanda bila kujali ni viwanda vya kusindika mazao yatokayo mashambani ama kutengeneza bidhaa za kawaida,tunahitaji njia ya reli kwa urahisi wa kusafisha bidhaa za viwandani na hata mazao ya mashambani kutoka sehemu moja kwenda nyingine,hii njia ya reli ni rahisi kwa bei na hata ina uhakika kuliko barabara.tunapoongea utalii wa ndani na hata nje bila uhakika wa usafiri kwa njia ya anga tutakuwa tegemezi tusiokuwa na uhakika..hongera MAGUFULI,MUNGU akutunze.
 
Rais MAGUFULI ameona umuhimu wa kuifufua njia za reli ambazo ziliachwa zijifie anafahamu na ameona umuhimu wa reli ktk maendeleo ya nchi yeyote duniani,Rais MAGUFULI anaweka umememe wa uhakika ktk kwa ajili ya maendeleo ya kweli,Rais MAGUFULI amenunua ndege ameifufua Atc iliyokuwa imejifia,kwa haya mambo matatu tunapotamka mageuzi ya kilimo na hata viwanda bila kuwa na haya mambo matatu kama msingi wa mageuzi itakuwa tunajidanganya kwa sababu tunahitaji umeme wa uhakika kwa ajili ya viwanda bila kujali ni viwanda vya kusindika mazao yatokayo mashambani ama kutengeneza bidhaa za kawaida,tunahitaji njia ya reli kwa urahisi wa kusafisha bidhaa za viwandani na hata mazao ya mashambani kutoka sehemu moja kwenda nyingine,hii njia ya reli ni rahisi kwa bei na hata ina uhakika kuliko barabara.tunapoongea utalii wa ndani na hata nje bila uhakika wa usafiri kwa njia ya anga tutakuwa tegemezi tusiokuwa na uhakika..hongera MAGUFULI,MUNGU akutunze.
Umesahau kumsifia pia kwa jinsi alivyoipaisha 1.5 trln toka hazina na jinsi anavyotoa 2.4trln hazina na kumzuia CAG kuyakagua matumizi yake.
Heko kwake [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Umeshindwa kuweka hata paragraph kwenye huu upumbavu uliouandika.
Hebu mwambie huyo unaempa sifa za kijinga atueleze ataifanyia nini korosho maelfu ya tani yanayoendelea kuoza?
Pia muulize atawalipa lini wananchi pesa zao za korosho?
Tatu, muulize ata recover vipi hasara aliyoisababishia nchi kwa maamuzi yake yasiyo na tija kwa taifa hili?
Kuanzia ameingia kila kitu kinakufa tu
Rais MAGUFULI ameona umuhimu wa kuifufua njia za reli ambazo ziliachwa zijifie anafahamu na ameona umuhimu wa reli ktk maendeleo ya nchi yeyote duniani,Rais MAGUFULI anaweka umememe wa uhakika ktk kwa ajili ya maendeleo ya kweli,Rais MAGUFULI amenunua ndege ameifufua Atc iliyokuwa imejifia,kwa haya mambo matatu tunapotamka mageuzi ya kilimo na hata viwanda bila kuwa na haya mambo matatu kama msingi wa mageuzi itakuwa tunajidanganya kwa sababu tunahitaji umeme wa uhakika kwa ajili ya viwanda bila kujali ni viwanda vya kusindika mazao yatokayo mashambani ama kutengeneza bidhaa za kawaida,tunahitaji njia ya reli kwa urahisi wa kusafisha bidhaa za viwandani na hata mazao ya mashambani kutoka sehemu moja kwenda nyingine,hii njia ya reli ni rahisi kwa bei na hata ina uhakika kuliko barabara.tunapoongea utalii wa ndani na hata nje bila uhakika wa usafiri kwa njia ya anga tutakuwa tegemezi tusiokuwa na uhakika..hongera MAGUFULI,MUNGU akutunze.
 
Juzi niliona Member wetu mleta mada za jikoni akileta swali la uchokonozi kuhusu kwamba umaarufu wa Magufuli umeisha duniani, hii hapa kwenye picha ni kundi la watu huko Namibia baada ya kumuona Magufuli anaanza safari za nje wameanza movement Magufulification of Naminia


1109329



Mitaa imeshaanza kuwekwa Bendera na picha za Magufuli

1109332
 
Juzi niliona Member wetu mleta mada za jikoni akisema kwama umaarufu wa Magufuli umeisha duniani, hii hapa kwenye picha ni kundi la watu huko Namibia baada ya kumuona Magufuli anaanza safari za nje wameanza movement Magufulification of Naminia


View attachment 1109329


Mitaa imeshaanza kuwekwa Bendera na picha za Magufuli

View attachment 1109332
Safi sana....... Chadema tuko pamoja nao!
 
Hivi kukubalika nje ya nchi au kutokukubalika kunapimwaje? Kwa kuwekwa picha ya mhusika? au kupokelewa au kwa jinsi unavyoongelewa kwa kule unachokifanya,MaCCM
 
Back
Top Bottom