Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Hivi kukubalika nje ya nchi au kutokukubalika kunapimwaje? Kwa kuwekwa picha ya mhusika? au kupokelewa au kwa jinsi unavyoongelewa kwa kule unachokifanya,MaCCM

Ukiingia uwanjani ukashangiliwa, inatosha.
 
Mbona roho ya Mungu iko kwa kila mtu aisee!Kama kweli roho yake iko juu yake akubali watu wasiojulikana wajulikane na watu waliopotea waonekane ,waliopigwa risasi uchunguzi ufanyike ,vyama vyote view kwenye level ground etc.Kama unafanya ubaguzi roho wa Mungu awezi kuwa juu yako soma biblia habari ya Sauli na Daudi uone roho ya Mungu ilikuwa wapi?
 
Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako.
 
Kama roho ya Mungu iko kwako pia basi wataje wasiojulikana!
 
Yule raisi mpya wa Zimbabwe alivyokuja Tz barabara za posta yote na ya airport ilijaa bendera za Zimbabwe

Yaani Namibia ndo nchi ya sisi kujivunia kuwa raisi anashangiliwa?
 
Basi ungemalizia tu kusema tumtambue kama mungu wetu maana ndiko mnakoelekea.
 
Tanzania ilikuwa mstari wa mbele kwenye ukombozi wa kusini mwa Afrika, na imeandikwa kwenye historia ya nchi za kusini mwa Afrika. Mtanzania au kiongozi yeyote akitua kwenye nchi hizo shangwa lazima isikike......
 
Siku ukiacha kulamba miguu na kutumia talanta uliyopewa kwakukuletea maendeleo bila kusifia vya kipuuzi utasaidia familia yako,but stil unaishi kwa kulamba miguu pole.
 
Watu wote wana roho ya Mungu, sijui ulikua unataka kusema jambo gani, embu kuwa wazi
 
Huu uzi ungepata wachangiaji wengi kama hizo picha zingekua za Rais wa Kenya.
Wapinzani wanajipendekeza sana kwa Wakenya ungekuta thread imejaa kisa kumsifia Kenyatta.
Magufuli anakubalika ndani na nje ya nchi...Over
Anakubalika hakubaliki sio issue
Namibia hawakuamka asubuhi wakasema Magu njoo ufungue barabara ya jina la Mwl Julius
Namibia s had been waiting for this moment muda mrefu tu
Kiongozi hawezi kufunga safari kwenda nchi fulani kufungua barabara tu... Its protocol ( kama una idea yoyote na mambo ya wizara ya mambo ya nchi za nje au Ubalozi kwa ujumla) ku cut cost wakatumia opportunity ya kuapishwa kwa Rais wa South Africa maana ni njiani kurudi nyumbani.
Nchi nyingi zilizopo Kusini zinamthamini sana Mwl Nyerere na nchi ya Tz kwa ujumla. Hata angekuwa Kikwete Mwinyi Mkapa mapokezi yangekuwa ni haya haya kwa sababu ya jina TANZANIA

MSIUDANGANYE UMMA KWAMBA ANAKUBALIKA AU HAKUBALIKI NI NCHI YA TANZANIA INAHESHIMIKA SANA NA MATAIFA HAYA NAMIBIA SOUTH AFRICA ZIMBABWE ZAMBIA ANGOLA MOZAMBIQUE etc kwa kile alicchokifanya MWL JULIUS NYERERE period! Hata angekuwa Lissu au Mbatia ndiye Rais angepewa heshima sawa as long as ni Rais wa Tanzania what's happening in Tz it's none of their business hawajali haiwahusu hawajui
 
What the fvck is this nonsense?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…