Kumbe hata hujui mgao wa umeme. Haya siku njema.Mgao ni nini kwani na ni nani anayetoa taarifa ya hitilafu mara umeme unapokatika?
Mara ngapi watu wa Dar umeme umekuwa unakatika kwao kila wiki mara moja ama zaidi ya mara moja?
Naomba urudishe uzi huu mikononi mwangu kabla sijawajulisha moderators. Uzi huu niliuanzisha mimi inakuwaje leo uko kwako?Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
Habari zaidi, soma =>Toka kwa Wananchi: Kero na Vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa...
Kama unaweza bet. Jina Rais wa sasa wa Tanzania basi. Unaliwa tena Unaliwa mcha kweupe.
Hana mchezo Wala Usije fanya mchezo na agizo lake Wala Usije cheka wakati hacheki.
Amesema amesema 5 years sasa Tz hakuna mgao na usiniulize nin kafanya
Miaka mitano sasa hakuna bei kupanda na usiniulize kafanya nini.
Miaka mitano na tuna madege yakutisha usiniulize kafanya nn.
Kizazi cha majizi anakifuta kabisa kama sio kukipoteza ktk system
Miradi yote kukamilika before 2025 nalazima imalizike kama. Una duwa lingine omba ila usi bet Rais wa sasa utaliwa tutusa
Labda mwanachadema wa Lumumba ndo ameridhika.Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
Habari zaidi, soma =>Toka kwa Wananchi: Kero na Vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa...
Wew mama yako alikusomesha nin? Au polepole ndio anakusomesha.Hapo ndiyo utajua tofauti kati ya Msomi aliyeelimika na Msomi ambaye usomi wake uliishia kwenye makaratasi kama akina Lissu.
HUNA AKILI WEWEMkuu nimeona nikukumbushe uzidi kukaza buti,kama ni dawa imewaingia kisawasawa,kwa sasa wanatapatapa tu.
Kazi ulioifanya ndani ya miaka minne kwa taifa hili ni ya kutukuka ,haiitaji tochi kuiona.
Mafanikio ya serikali yako ya awamu ya tano, kila nyanja yanonekana. Kwa uchache ni ,Afya,elimu,miundo mbinu,nk, ni mengi mazuri
Piga kazi kwa speed ileile na ikibidi ongeza speed,
Wewe ndie Amiri jeshi mkuu,katiba imekupa mamlaka kiutendaji,itendee haki Tanzania hii yenye utajiri mkubwa kila siku inaitwa maskini.
Sisi sio maskini,tulikosa usimamizi mzuri wa raskimali zetu,wewe umepatikana,simamia kwa nguvu zote.
Kuna kakikundi flani kanajaribu kukuzuia kufanya kazi,kakishirikiana na baadhi ya wakoloni wapuuzi.haka kakikundi kashughulikiwe ipasavyo bila huruma.
Ili taifa lisonge ni lazima wengine wachache waumie ,iko hivyo duniani kote,(especially puppets),sisi sio wa kwanza .
Haiwezekani wakatokea watanzania wachache ambao wako kimaslahi zaidi, kazi yao ni kuipaka nchi matope kila uchao wachekewe kisa wana mahusiano na waingereza na wamarekani,washughulikiwe tu,hata hizo nchi wanazozishitakia zimewaadhibu watu wa aina hii kwa tabia kama hizi tunazoziona hapa nchini.
Mbaya zaidi wanakua bias,kana kwamba nchi hii hakuna mazuri yanayofanyika wakayatangaza.
Mwisho, fanya yaliomema kwa maendeleo ya watanzania ,kwani lawama hazikosi popote pale,hakikisha unawapa watanzania walio wengi furaha kwa kuwaletea maendeleo,achana na hawa wachache wachumia tumbo,ambao wamejikita mitandaoni kufarijiana
PIA WEWE HUNA AKILIKinachowakera ni kutokwenda kuomba misaada huku akifanya mambo makubwa kwa taifa,wamezoea kuabudiwa
Wewe unazo za kuvukia barabara tu[emoji23]PIA WEWE HUNA AKILI