Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Unaweza ukawa uko sahihi kwa unachokiongelea katika uzi wako huu. Hata hivyo, sioni sababu ya kuanza kuwatukana wale unaodhani wana mawazo kinzani na yako. Maendeleo huanza kwa mawazo fikirishi na kinzani, jifunze kuheshimu wenzako.
 
Wakati tuna msema vibaya na kumtukana siku isio kuwa na jina atavikwa nishani ya utumishi wa juu ulio tukuka na majeshi ya ulinzi na usalama pamoja na serikali yote maana hakuwahi kutokea na hatujuwi atatokea lini Rais kama huyu. Mm nina miaka 37 kiukweli huyu Rais sio wakawaida nilitamani kama baba yangu angekuwa hai aone haya ninayaona.
Watu wajinga na wapumbavu majiz na mazandiki wanachafuwa jina la taigfa hili kwa masilahi binafsi ila mimi nasema huyu rais sio wakwaida .

Rais alie gusa mfumo mzima wa maisha ya watu na watanzania wamemuelewa wanaona faida na thamani ya kodi yao kwa mara ya kwanza ktk historia ya taifa hili sii kwamba hatukuona taala zingine ila this time Magufuli ccm ametosha.
Namuombea maisha marefu na dunia siku moja itasimama kwa ajili yake maana hata dunian hawajawai ona kiongoz shupavu na mwenye uzalendo tena ngoz nyeusi.
Fanya mambo mawili,la kwanza kajifunze kuandika,la pili Ben Saa8 yuko wapi?
 
Wakati tuna msema vibaya na kumtukana siku isio kuwa na jina atavikwa nishani ya utumishi wa juu ulio tukuka na majeshi ya ulinzi na usalama pamoja na serikali yote maana hakuwahi kutokea na hatujuwi atatokea lini Rais kama huyu. Mm nina miaka 37 kiukweli huyu Rais sio wakawaida nilitamani kama baba yangu angekuwa hai aone haya ninayaona.
Watu wajinga na wapumbavu majiz na mazandiki wanachafuwa jina la taigfa hili kwa masilahi binafsi ila mimi nasema huyu rais sio wakwaida .

Rais alie gusa mfumo mzima wa maisha ya watu na watanzania wamemuelewa wanaona faida na thamani ya kodi yao kwa mara ya kwanza ktk historia ya taifa hili sii kwamba hatukuona taala zingine ila this time Magufuli ccm ametosha.
Namuombea maisha marefu na dunia siku moja itasimama kwa ajili yake maana hata dunian hawajawai ona kiongoz shupavu na mwenye uzalendo tena ngoz nyeusi.
Uko sahii mkuu ila namwomba Rais Magufuli asifanye makosa ya Moses.

Moses aliwaahidi waisraeli kuwapeleka Kaanan matokeo yake wakaishia jangwani kwenye Milima ya Sinai, kitu ambacho kiliwafanya waisraeli wengi kuchanganyikiwa na kutamani kurudi tena kwa wamisri.

Rais Magufuli ndiyo na sikatai, anajitahidi sana kama kiongozi mwafrika anajenga majengo mazuri na ya kuvutia, mabarabara kila sehemu na madaraja mazuri pia, ndege zetu na SGR pia Umeme wa Steaglers Gorge.

Walakini ambao upo ni kwamba watu wengi mijini hawana kipato na ili wawe na kipato wanahitaji ajira. Hapo sasa ndipo vijana wengi wa mijini wanashindwa.

Simlaumu Rais wetu, ila kuna kitu kimoja tu ambacho hajakiona bado. Ningemshauri kuwaangalia wajerumani mashariki na ajiulize kwanini wao pamoja na jitihada zote za serikali ya ujerumani na wananchi wake wamezifanya financialyy na morally kuboresha hali ya maisha ya wa east german, imeshindikana. Usoshalist umewalemaza.

Tanzania tunahitaji generation nyingine. Generation ya Mwalim Nyerere na hii ya miaka 30 ya Mwinyi, Mkapa na Kiwete Ni Generation ambazo ni mzigo kwa Rais. Hazita msaidia kitu. Ni mazezeta sisi. Tumezoea vya dezo. Hatujui kujituma na kuchangamkia fursa.

Geration zetu ni sawa swa na kumpigia mbuzi gitaa. Hatutakuelewa. Sisi wengi wetu ni mazombi tunao subiri kuzikwa milele.

Haiwezekani takribani miaka 3.5 sasa unatupigia kelele zilezile kila mara tuchnagamkie fursa, matokeo ni sawa sawa na zero.

Rais Magufuli badili strategy. Kuna kitu hapa hakija kaa vizuri hapa.
 
Wakati tuna msema vibaya na kumtukana siku isio kuwa na jina atavikwa nishani ya utumishi wa juu ulio tukuka na majeshi ya ulinzi na usalama pamoja na serikali yote maana hakuwahi kutokea na hatujuwi atatokea lini Rais kama huyu. Mm nina miaka 37 kiukweli huyu Rais sio wakawaida nilitamani kama baba yangu angekuwa hai aone haya ninayaona.
Watu wajinga na wapumbavu majiz na mazandiki wanachafuwa jina la taigfa hili kwa masilahi binafsi ila mimi nasema huyu rais sio wakwaida .

Rais alie gusa mfumo mzima wa maisha ya watu na watanzania wamemuelewa wanaona faida na thamani ya kodi yao kwa mara ya kwanza ktk historia ya taifa hili sii kwamba hatukuona taala zingine ila this time Magufuli ccm ametosha.
Namuombea maisha marefu na dunia siku moja itasimama kwa ajili yake maana hata dunian hawajawai ona kiongoz shupavu na mwenye uzalendo tena ngoz nyeusi.

Hata akina Mkapa na JK walikuwa na wapambe wenye maslahi binafsi na madaraka yao hao waliowapamba. Hapo hakuna jipya na hao waliyofanya ili kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa anayewapeleka chooni.
 
Ni Tz ya sheria na haki, mkubwa na mdogo kuheshimiana. Hakuna tena usemi "unanijua mimi ni nani? " big up JPM
 
Wakati tuna msema vibaya na kumtukana siku isio kuwa na jina atavikwa nishani ya utumishi wa juu ulio tukuka na majeshi ya ulinzi na usalama pamoja na serikali yote maana hakuwahi kutokea na hatujuwi atatokea lini Rais kama huyu. Mm nina miaka 37 kiukweli huyu Rais sio wakawaida nilitamani kama baba yangu angekuwa hai aone haya ninayaona.
Watu wajinga na wapumbavu majiz na mazandiki wanachafuwa jina la taigfa hili kwa masilahi binafsi ila mimi nasema huyu rais sio wakwaida .

Rais alie gusa mfumo mzima wa maisha ya watu na watanzania wamemuelewa wanaona faida na thamani ya kodi yao kwa mara ya kwanza ktk historia ya taifa hili sii kwamba hatukuona taala zingine ila this time Magufuli ccm ametosha.
Namuombea maisha marefu na dunia siku moja itasimama kwa ajili yake maana hata dunian hawajawai ona kiongoz shupavu na mwenye uzalendo tena ngoz nyeusi.
Mkuu, haya yote unayoyaona ndivyo haswa hupaswa kufanyika ktt ulimwengu wa kistaarabu, ingawaje bado kuna mapungufu na kasoro nyingi ndani yake. Pamoja na wananchi kubanwa kwa kulipa kodi nyingi, bado tu kuna watu wa aina yako wanaona utendaji wa serikali iliyopo madarakani kama ni muujiza badala ya wajibu wake. Bro, naomba tuwe wa kweli tu.
 
Mkuu, haya yote unayoyaona ndivyo haswa hupaswa kufanyika ktt ulimwengu wa kistaarabu, ingawaje bado kuna mapungufu na kasoro nyingi ndani yake. Pamoja na wananchi kubanwa kwa kulipa kodi nyingi, bado tu kuna watu wa aina yako wanaona utendaji wa serikali iliyopo madarakani kama ni muujiza badala ya wajibu wake. Bro, naomba tuwe wa kweli tu.

Mapungufu hayakosekani labda tuhamie mbinguni. Muhimu, kwa uungwana, ni kupambana yarekebishwe
 
ningeisoma hili bandiko nikiwa nje ya nchi ningetamani kurudi nyumbani lkn kwakuwa niko hapa Kwaedi Kwazu wilayani Handeni
sina budi kuamini kuwa eitha uko kazini au unasifia kwa maslahi yako
mi nisiwe mnafki sioni cha zaidi kama ni hizo ndege hazimsaidii babu wala bibi yangu juzi nilimpeleka hospital pale teule hata dawa za athma nimeambiwa nikanunue
acheni kusifu vitu ambavyo havipo mtapata dhambi bure

Cha ajabu anayesifiwa anajua nyingi ya sifa ni za uongo kwakuwa mambo sio mazuri kwa hivyo, lakini hata yeye amejikuta anaamini propaganda hizo kwani wanaotoa sifa hizo ni watu wenye akili timamu.
 
Ni Tz ya sheria na haki, mkubwa na mdogo kuheshimiana. Hakuna tena usemi "unanijua mimi ni nani? " big up JPM

Hizi lugha zipo, sema zimehama toka kwa watu wenye pesa zimehamia kwa viongozi wa serikali kama maDC, RC,s na wanaccm waandamizi.
 
Kumbe anavikwa na maboya alowateua, ???
Watamlamba sana miguu hao maboya, na wengi wao ni Wasukuma
Wakati tuna msema vibaya na kumtukana siku isio kuwa na jina atavikwa nishani ya utumishi wa juu ulio tukuka na majeshi ya ulinzi na usalama pamoja na serikali yote maana hakuwahi kutokea na hatujuwi atatokea lini Rais kama huyu. Mm nina miaka 37 kiukweli huyu Rais sio wakawaida nilitamani kama baba yangu angekuwa hai aone haya ninayaona.
Watu wajinga na wapumbavu majiz na mazandiki wanachafuwa jina la taigfa hili kwa masilahi binafsi ila mimi nasema huyu rais sio wakwaida .

Rais alie gusa mfumo mzima wa maisha ya watu na watanzania wamemuelewa wanaona faida na thamani ya kodi yao kwa mara ya kwanza ktk historia ya taifa hili sii kwamba hatukuona taala zingine ila this time Magufuli ccm ametosha.
Namuombea maisha marefu na dunia siku moja itasimama kwa ajili yake maana hata dunian hawajawai ona kiongoz shupavu na mwenye uzalendo tena ngoz nyeusi.
 


Wakati tuna msema vibaya na kumtukana siku isio kuwa na jina atavikwa nishani ya utumishi wa juu ulio tukuka na majeshi ya ulinzi na usalama pamoja na serikali yote maana hakuwahi kutokea na hatujuwi atatokea lini Rais kama huyu. Mm nina miaka 37 kiukweli huyu Rais sio wakawaida nilitamani kama baba yangu angekuwa hai aone haya ninayaona.
Watu wajinga na wapumbavu majiz na mazandiki wanachafuwa jina la taigfa hili kwa masilahi binafsi ila mimi nasema huyu rais sio wakwaida .

Rais alie gusa mfumo mzima wa maisha ya watu na watanzania wamemuelewa wanaona faida na thamani ya kodi yao kwa mara ya kwanza ktk historia ya taifa hili sii kwamba hatukuona taala zingine ila this time Magufuli ccm ametosha.
Namuombea maisha marefu na dunia siku moja itasimama kwa ajili yake maana hata dunian hawajawai ona kiongoz shupavu na mwenye uzalendo tena ngoz nyeusi.
 


Wakati tuna msema vibaya na kumtukana siku isio kuwa na jina atavikwa nishani ya utumishi wa juu ulio tukuka na majeshi ya ulinzi na usalama pamoja na serikali yote maana hakuwahi kutokea na hatujuwi atatokea lini Rais kama huyu. Mm nina miaka 37 kiukweli huyu Rais sio wakawaida nilitamani kama baba yangu angekuwa hai aone haya ninayaona.
Watu wajinga na wapumbavu majiz na mazandiki wanachafuwa jina la taigfa hili kwa masilahi binafsi ila mimi nasema huyu rais sio wakwaida .

Rais alie gusa mfumo mzima wa maisha ya watu na watanzania wamemuelewa wanaona faida na thamani ya kodi yao kwa mara ya kwanza ktk historia ya taifa hili sii kwamba hatukuona taala zingine ila this time Magufuli ccm ametosha.
Namuombea maisha marefu na dunia siku moja itasimama kwa ajili yake maana hata dunian hawajawai ona kiongoz shupavu na mwenye uzalendo tena ngoz nyeusi.
 
Muongo aliyekubuhu HAACHI ASILI YAKE.



Wakati tuna msema vibaya na kumtukana siku isio kuwa na jina atavikwa nishani ya utumishi wa juu ulio tukuka na majeshi ya ulinzi na usalama pamoja na serikali yote maana hakuwahi kutokea na hatujuwi atatokea lini Rais kama huyu. Mm nina miaka 37 kiukweli huyu Rais sio wakawaida nilitamani kama baba yangu angekuwa hai aone haya ninayaona.
Watu wajinga na wapumbavu majiz na mazandiki wanachafuwa jina la taigfa hili kwa masilahi binafsi ila mimi nasema huyu rais sio wakwaida .

Rais alie gusa mfumo mzima wa maisha ya watu na watanzania wamemuelewa wanaona faida na thamani ya kodi yao kwa mara ya kwanza ktk historia ya taifa hili sii kwamba hatukuona taala zingine ila this time Magufuli ccm ametosha.
Namuombea maisha marefu na dunia siku moja itasimama kwa ajili yake maana hata dunian hawajawai ona kiongoz shupavu na mwenye uzalendo tena ngoz nyeusi.
 
Back
Top Bottom