Na wewe unalipwa kiasi gani kumpinga Magufuli?hiv uchoki Kupinga Kila kitu kizuri anachofanya Magufuli?Unalipwa kiasi gani wewe kwa siku na huyo magufuli wako? Maana muda wote unawaza kumsifia, kumsujudia, kumpamba na kumtukuza tu! Hivi huchoki?
Kiukweli mheshimiwa Rais anafanya vizuri kuinyoosha hii nchi! Hata hivyo ni wajibu wake na kulikuwa hakuna haja ya kupiga kelele kila siku kumpongeza kwa kuwa kufanya hivyo ni sehemu ya wajibu wake.
Kwa hiyo tuseme hakuna ufisadi serikalini kwa sasa?
Unalipwa kiasi gani wewe kwa siku na huyo magufuli wako? Maana muda wote unawaza kumsifia, kumsujudia, kumpamba na kumtukuza tu! Hivi huchoki?
Na wewe unalipwa kiasi gani kumpinga Magufuli?hiv uchoki Kupinga Kila kitu kizuri anachofanya Magufuli?
Mimi silipwi na yeyote Mkuu,Mimi Uongozi wa Magufuli umerufidisha uzalendo wangu anafanya mambo makubwa mno
Acha watu watoe hoja zao kwa uhuru usipende Sana kuzimisha mawazo yako yawe sawa na wengineKumbe mko wengi hivi! Hebu nijibu basi kwa niaba ya ndugu yako Mikocheni Junction. Huwa mnalipwa kiasi gani kwa siku, saa, wiki, mwezi, nk. Na huwa hamchoki kumsifia?
Acha watu watoe hoja zao kwa uhuru usipende Sana kuzimisha mawazo yako yawe sawa na wengine
Acha watu watoe hoja zao kwa uhuru usipende Sana kuzimisha mawazo yako yawe sawa na wengine
Inamaana huyo jamaa angeendelea kuingia atm na bar kwa miaka mngine mitano ungekuwa na hali gani?Kweli huyu ndiye rais niliyemsubiri kwa miaka mingi sana. Sikuhizi yule jamaa yangu aliyekuwa anafanya kazi pale halmashauri ya manispaa ya kinondoni simuoni tena. Yaani yeye alikuwa anatembepea maeneo mawili tu. Kwenye ATM na BAR. Anajifanya eti yuko serikalini ndo maana hafanyi kazi. Na kama wiki hivi sijamwona alafu nikimpigia simu anasema yuko busy. ***** ngoja aje amkute hayuko apigwe chini ntacheka alafu hata hana nyumba.
Magufuli hebu mtembelee na huyu umfinye kidogo ajifunze kuishi kwa kuchubuka kama sisi
Kwani yeye akimsifia wewe inakuuma Nini au unapungukiwa nini? Mbona yeye hajakuingilia kwa kitendo chako Cha kumponda magufuli.wote tuna id fake na hatujuani sasa kwanini unamwambia mwenzako analipwa?Mkuu usipaniki! Nimeuliza tu maswali ili nifahamu. Natambua praise team mnafanya kazi kubwa sana.
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
Habari zaidi, soma =>Toka kwa Wananchi: Kero na Vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa...
Hakika, naamini tutakuwa wengi.mtakuwa wengi mno mpaka kufikia 2020.