Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Miaka 5 imeshafika tupe mrejesho
 
Japokua kuna watu hawakukubali, lakini mimi nasema mzee we chapa kaziii! Waache waongeee'. We chapa kazi ukimaliza unaenda zako kuota jua juu ya mawe unawacheki tu.

Watakuelewa tuu, wapo ambao akili zao zinachukua mda kukubali kitu, time will tell.

Sasa wanakupandikizia chuki kwa wananchi, wanadai eti kwasababu ya corona utaahirisha uchaguzi, lakini umewaumbua.

You're all welcome to the meeting with me and My Director of Federal Bureau Of Investigation (FBI)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejianzishia uzi muheshimiwa
Nashukuru kusoma nyuzi yako muheshimiwa [emoji16][emoji16][emoji16]

K,K
 
Nguvu za soda zimekata. Alijua tunapesa nyungi sana akaanzisha miradi ambayo imemshika. Kabana wafanyabiashara akisahau kuwa ukitaka kula lazima uliwe kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Secretary, you're letting me down big time! secretary POMPEO,

"My pain may be the reason for somebody's laugh,but my laugh must never be the reason for somebody's pain"

Charlie Chaplin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…