Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kama ni kuhusu safari nakuhakikishia bado wana safiriri kama zamani. Ila sasa lazima wajaze makaratasi kwenda kwa Treasury Registrar au Chief Secrtary. Ambaye hasafiri ni Magufuli mwenyewe naye hasafiri si kwa vile anaipenda sana Tanzania, NO ni kwamba ana betri kifuani au Pacemaker ambayo kupanda ndege kwa masaa zaidi ya 6 ni health risk.
 
Ule msaada na habari ya wanafunzi wazazi tu ulitaka kumtoa mtu roho, kwa kifupi tu tanzania kwa sasa haiwezekani bila mikopo na misaada kutoka kwa mabeberu. PERIOD.
 
Kama ni kuhusu safari nakuhakikishia bado wana safiriri kama zamani. Ila sasa lazima wajaze makaratasi kwenda kwa Treasury Registrar au Chief Secrtary. Ambaye hasafiri ni Magufuli mwenyewe naye hasafiri si kwa vile anaipenda sana Tanzania, NO ni kwamba ana betri kifuani au Pacemaker ambayo kupanda ndege kwa masaa zaidi ya 6 ni health risk.
Kuna tofauti kati ya kusafiri na kupishana angani daily bwashee.

Watu walikuwa wanaenda kunyoa ndevu kwa Madiba SA kila baada ya siku 2!
 
Ule msaada na habari ya wanafunzi wazazi tu ulitaka kumtoa mtu roho, kwa kifupi tu tanzania kwa sasa haiwezekani bila mikopo na misaada kutoka kwa mabeberu. PERIOD.
Bwashee funguka usije kwa nyatanyata......ili ueleweke!
 
Msaada kwenye tuta, Mimi ni Muislamu, hivi nyinyi wenzetu "NABII" mnachukulia ni mtu wa aina gani haswa?
 
Wengi hawakumwelewa Rais Magufuli alisitisha safari za nje ya nchi na kuwataka watanzania kuachana na utegemezi wa misaada ya wazungu.

Ikumbukwe hata mchicha na matunda tuliletewa kutoka Afrika ya kusini na sukari ilitoka Brazil.

Najaribu kufikiria yale mafungu ya wabongo yaliyokuwa yanapishana angani daily kama yasingezuiwa hiyo importation ya Corona kutoka Ulaya na uchina ingekuwa kubwa kiasi gani?

Je, mahitaji yetu ya kibajeti yaliyowategemea wazungu kwa asilimia 60 leo hii tungeyapataje?

Je, matibabu ya viongozi na watu mashuhuri yaliyotegemea India na Ulaya kwa 90% leo wangeendaje?!

Maswali ni mengi sana kwa kweli lakini naishia hapo.

Mungu mbariki Kiongozi huyu uliyemchagua Dr Magufuli.

Maendeleo hayana vyama!
Amen
 
Pesa alizozishadadia kabwe zitto zisitolewe mbona mlibweka sana mpaka mnataka kum dedisha jamaa vipi zile nazo.
 
Zitto na Mbowe wasikupotezee muda wako bwashee.

Wenzio " Jioni" wanalia kivulini kwenye mti wa CCM!
Wala hawanipotezie mda hapa nipo zangu kazini nimekutana na upupu wako nkasema nikuulize tu. Bado siku chache mshahara wangu mnono uingie kwa acount.
So wala hawanipotezei mda.
Kichinjio changu tu siku ya kukitumia kidoogo ndio ntapotezewa mda kwenye kupanga mstari lkn naamini itakua siku ya jumapili. So sio issue.
 
Back
Top Bottom