johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Amina bwashee!umenena vyema. Pamoja na mapungufu yake Magufuli ana maono ya mbali na vision nzuri ya hili taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina bwashee!umenena vyema. Pamoja na mapungufu yake Magufuli ana maono ya mbali na vision nzuri ya hili taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu wapiga dili lazima wapinge!Upo sahihi sana mkuu,wasioelewa na waliozoea kupiga enzi za Mr Msoga watakupinga tu. Mr JPM ni mpango wa Mungu.
macson
Hivyo vimetolewa kwa Afrika bwashee...... Uwe unaelewa.Sijui unatumia nini kufikiri! Juzi tu tumepokea msaada wa vifaa tiba
Ubabe ni mada nyingine bwashee!Ila Wachina ndio mwawategemea?!
Hamna lolote, hamtaki kukosolewa na ubabe wenu kwa wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tofauti kati ya kusafiri na kupishana angani daily bwashee.Kama ni kuhusu safari nakuhakikishia bado wana safiriri kama zamani. Ila sasa lazima wajaze makaratasi kwenda kwa Treasury Registrar au Chief Secrtary. Ambaye hasafiri ni Magufuli mwenyewe naye hasafiri si kwa vile anaipenda sana Tanzania, NO ni kwamba ana betri kifuani au Pacemaker ambayo kupanda ndege kwa masaa zaidi ya 6 ni health risk.
Bwashee funguka usije kwa nyatanyata......ili ueleweke!Ule msaada na habari ya wanafunzi wazazi tu ulitaka kumtoa mtu roho, kwa kifupi tu tanzania kwa sasa haiwezekani bila mikopo na misaada kutoka kwa mabeberu. PERIOD.
Bwashee funguka usije kwa nyatanyata......ili ueleweke!
Mwenye maono ya mbali!Msaada kwenye tuta, Mimi ni Muislamu, hivi nyinyi wenzetu "NABII" mnachukulia ni mtu wa aina gani haswa?
Haya!Great thinkers wameelewa.
AmenWengi hawakumwelewa Rais Magufuli alisitisha safari za nje ya nchi na kuwataka watanzania kuachana na utegemezi wa misaada ya wazungu.
Ikumbukwe hata mchicha na matunda tuliletewa kutoka Afrika ya kusini na sukari ilitoka Brazil.
Najaribu kufikiria yale mafungu ya wabongo yaliyokuwa yanapishana angani daily kama yasingezuiwa hiyo importation ya Corona kutoka Ulaya na uchina ingekuwa kubwa kiasi gani?
Je, mahitaji yetu ya kibajeti yaliyowategemea wazungu kwa asilimia 60 leo hii tungeyapataje?
Je, matibabu ya viongozi na watu mashuhuri yaliyotegemea India na Ulaya kwa 90% leo wangeendaje?!
Maswali ni mengi sana kwa kweli lakini naishia hapo.
Mungu mbariki Kiongozi huyu uliyemchagua Dr Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe uko kisiasa zaidi bwashee!!That's too low Jo! Mahaba yakipitiliza unakuwa upumbavu
Jr[emoji769]
Zitto na Mbowe wasikupotezee muda wako bwashee.Pesa alizozishadadia kabwe zitto zisitolewe mbona mlibweka sana mpaka mnataka kum dedisha jamaa vipi zile nazo.
Wala hawanipotezie mda hapa nipo zangu kazini nimekutana na upupu wako nkasema nikuulize tu. Bado siku chache mshahara wangu mnono uingie kwa acount.Zitto na Mbowe wasikupotezee muda wako bwashee.
Wenzio " Jioni" wanalia kivulini kwenye mti wa CCM!