Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Huyo bora acheze * nashangaa nawaumini wake niwatu wanamna gani? Mtu anayewala kondoo wake
 
Amen, how about Bashite? Chaguo la Mungu, Shetani au Binadamu?
Akihubiri Kanisani kwake leo askofu Gwajima amewawekea video clip ya hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa leo Ikulu ndogo ya Chato.

Askofu Gwajima amesema alichofanya Rais Magufuli ni ujasiri ambao haujawahi kuonyeshwa na kiongozi yoyote duniani.
Hotuba hii ingetolewa na Trump wa USA au Johnson wa UK ingekuwa ndio habari kuu ya dunia kwa sasa lakini kwa sababu imezungumzwa na kiongozi wa Afrika haitapewa uzito wa juu.

Gwajima amesema siyo kwamba anamfagilia Rais Magufuli bali ukweli ni kwamba Dr Magufuli ni chaguo la Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akihubiri Kanisani kwake leo askofu Gwajima amewawekea video clip ya hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa leo Ikulu ndogo ya Chato.

Askofu Gwajima amesema alichofanya Rais Magufuli ni ujasiri ambao haujawahi kuonyeshwa na kiongozi yoyote duniani.
Hotuba hii ingetolewa na Trump wa USA au Johnson wa UK ingekuwa ndio habari kuu ya dunia kwa sasa lakini kwa sababu imezungumzwa na kiongozi wa Afrika haitapewa uzito wa juu.

Gwajima amesema siyo kwamba anamfagilia Rais Magufuli bali ukweli ni kwamba Dr Magufuli ni chaguo la Mungu.

Sijui ni kwanini CORONA inatuondolea Watu muhimu Kwetu lakini wale Wapumbavu inatuachia waendelee Kutusumbua duniani.
 
mkuu mm leo nimemuelewa sana huwa hakurupuki,haswa miaki hii ujasusi wa kuharibu mataifa ya africa upo sana,kwaio kupata mtu kama magufuli kuwa na uwelid wa kijasusi ni dhahiri kwamba huyu raisi wetu anatufaa sana katika mapambano ya taifa letu,BINAFSI YANGU NTAMPA KURA YANGU TENA UCHAGUZI UJAO.huyu mwamba anatufaa kuendelea kuwa raisi wa taifa hili.pia ni mafundisho hata kwa mawaziri wakuu wa mikoa kuwa sio kila zawaidi ina nia njema.kabla hujapokea jiulize kwann mm? unapaswa kuichunguza kabla ya kuitumia,
 
Akihubiri Kanisani kwake leo askofu Gwajima amewawekea video clip ya hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa leo Ikulu ndogo ya Chato.

Askofu Gwajima amesema alichofanya Rais Magufuli ni ujasiri ambao haujawahi kuonyeshwa na kiongozi yoyote duniani.
Hotuba hii ingetolewa na Trump wa USA au Johnson wa UK ingekuwa ndio habari kuu ya dunia kwa sasa lakini kwa sababu imezungumzwa na kiongozi wa Afrika haitapewa uzito wa juu.

Gwajima amesema siyo kwamba anamfagilia Rais Magufuli bali ukweli ni kwamba Dr Magufuli ni chaguo la Mungu.
Askofu wa wajinga na kuwazibua mtr kondoo
Zake

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani Bunge la linalomaliza lipitishe kuwepo kwa nishani iliyotukuka ya utumishi wenye mapenzi makubwa kwa Taifa, kwa mtu atakayejitoa bila hila moyoni kulitumikia Taifa na kuacha alama za utumishi wake atunukiwe nishani hiyo, na ninapendekeza ianze na JPM.

Aliyoyafanya yako wazi wala siyo ya kutafitiza. Hata baada ya miaka 100 watu wataandika na kutafuta habari za mtu huyu alikuwa Wa namna gani. Tuwe na Tabia kutunza watu wanaofanya mambo ya kutukuka hata kabla hawajafa.

Tunaposema pengo halizibiki, la JPM halitazibika hata akistaafu baada ya kumaliza kipindi chake, ni Mtu Wa tofauti sana
 
Kwa Kweli huyu tutamuweka kwenye kumbukumbu za taifa letu kama Rais aliyekuwa mkaidi sana, Rais mjuaji wa kila kitu, asiyependa kukosolewa wala kushauliwa,mbishi na anayependa kupewa sifa na utukufu badala ya Mungu aliyemuumba na mtu anayegawa vyeo kwa watu iwapo tu utamlamba miguu au kukubaliana na ujinga anao uwaza yeye. hakika tutamkumbuka kwa hayo machache.
 
Natamani Bunge la linalomaliza lipitishe kuwepo kwa nishani iliyotukuka ya utumishi wenye mapenzi makubwa kwa Taifa, kwa mtu atakayejitoa bila hila moyoni kulitumikia Taifa na kuacha alama za utumishi wake atunukiwe nishani hiyo, na ninapendekeza ianze na JPM.

Aliyoyafanya yako wazi wala siyo ya kutafitiza. Hata baada ya miaka 100 watu wataandika na kutafuta habari za mtu huyu alikuwa Wa namna gani. Tuwe na Tabia kutunza watu wanaofanya mambo ya kutukuka hata kabla hawajafa.

Tunaposema pengo halizibiki, la JPM halitazibika hata akistaafu baada ya kumaliza kipindi chake, ni Mtu Wa tofauti sana
Ngoja wachawi waamke
 
Hivi utumishi uliotukuka ndio huu wa kutandika shaba wapinzani na kupoteza watu? Au unamaanisha tuanze kutoa nishani za wahalifu walivaa suti
 
kwa kitendo chake cha kukimbilia uko alipo kwa kipindi hichi,
inatakiwa avuliwe vyeo vyote
 
Ndugu zangu amani iwe nanyi.Baada ya hizi Salam naomba niwape pole kwa kwa majanga yanayoendelea kuikumba dunia yetu.Tusiogope naamin yatapita.

Tangu JPM aingie madarakani kumetokea Mambo mengi Sana .Na katika hayo mengi wakati akiyatolea maamuzi wengi tumekua tukipigwa butwaa.

Naacha maswali hivi JPM no nani ?Mbona ni Kama wengi hatumwelewi?Je labda no kwa sababu yeye ni JINIAS ndo maana wengi wetu hatumwelewi?

Lakini huenda badae tukaja mwona Kama ndo Musa wetu katika nchii hii manake kiunabii ndo huyu wa awamu ya tano ataiponya nchi hii.Namanisha ni huyu mzee ataiweka nchi kwenye ramani ya maendeleo na watakaokuja baada yake kazi yao itakua moja tu ya kumkamua ngombe atoae maziwa mengi.

Tukimfahamu JPM tutamwelewa.

Asanteni .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo mimi ni muhanga wa ajira lakini kila ninapofikiri vizuri sioni wakuijenga Tanzania zaidi ya JPM.

Tuache ushabiki wa kisiasa naomba mniambie nani na amefanya nini au jambo gani zuri mbali na kupiga kelele majukwaani na kwenye media?

Mbatia, Pro Lipumba, Mbowe, Zito, Self, Lisu nk, wamefanya kitendo gani kizuri? Nitafurahi tu kufaham maana huwa nawasikia tu miaka mingi na kama hakuna basi proudly of JPM
 
Back
Top Bottom