Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Ningeshangaa ungepata like hata moja maana haya maneno hayana uhalisia ndio yaleyale maneno ya chadema
 
Moja ya madai makubwa ya upinzani ni kusema kuwa kuna kubinywa kwa Uhuru wa kujieleza na kukusanyika, Magufuli ameijibu Dunia Jana kwamba Tanzania wanaruhusiwa kufanya tu hata ujinga

Dunia imenyamazishwa kimya na Magufuli jana hawajui waanzie wapi maana mchezo hunoga pale mgogoro unapotengenezwa

Sasa iwe marufuku tena kwa mabeberu na makuwadi wao kumponda Rais Magufuli kuhusu Demokrasia amekuwa baba wa Demokrasia mjenga nchi mwanamapinduzi wa kiuchumi
 
Mhhhh hata sjakuelewa
 
Yule mkuu wa wilaya mpya wa Kongwa ana Phd, na alikuwa analipwa laki tano kwa mwezi pale Lumumba. Sijajua wew wanakulipaje ndugu?
 
Magufuli anaruhusu demokrasia kama nani? Kwa sheria gani?

Na kama anaruhusu demokrasia sasa, unakubali aliiminya awali?
 
Nau
Naunga mkono hoja
 


Sasa Magu amepevuka kisiasa.
 
Kumbe mnajua kua alikua anafanya ushenzi before? sasa uchaguzi umekaribia anajifanya mwema akusanye kura za watu wenye akili, hahaha no fucking way, hakuna mtu atamuamini jiwe tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…