Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kwenye kusimamia miradi hapo tunampa big up
Ila tuombe tu miradi yote iishe salama
Mnyongemnyongeni lkn haki yake mpeni

Ova
 
Watanzania wengi wanatambua kwamba, mwaka huu 2020 ni mwaka wa uchaguzi kama yalivyo matakwa ya kikatiba kufanya uchaguzi mkuu kwaajili ya kuwapata Mkuu wa nchi na Serikali (RAIS) wawakilishi wa majimbo (Wabunge) na wawakilishi wa kata (Madiwani)
Uchaguzi mkuu huu wa mwaka huu utaingiliwa sana na Mabeberu kutokana na hatua za kizalendo zilizochukuliwa na serikali ya awamu ya tano chini ya Dkt. John Joseph Magufuli
Hatua hizo ni pamoja na:
1. Kupitia upya sheria ya madini na kuipitia mikataba ya uchimbaji ili kuongeza mapato ya Taifa kutokana na madini. Hatua hizi zimewapunguzia faida mabeberu maana Taifa linapata zaidi ya 10% kutoka 3% ya awali. Hili ni chukizo kwa mabeberu
2. Udhibiti wa utoroshwaji madini kwa kujenga ukuta Mererani na kutumia vyombo vyote vya ulinzi kulinda madini yetu. Hatua hii imetuwezesha kupata mawe makubwa ya Tanzanite kutoka kwa Ndugu Laizer, tumepata kodi kubwa kutokana na udhibiti wa dhahabu na almasi pia. Nchi zilizokuwa zinanufaika na madini yetu mfano Kenya, Afrika kusini, India na mabeberu zimetikisika kiuchumi hivyo kujenga chuki
3. Udhibiti wa wanyamapori uliokomesha ujangili , biashara za vipusa na wanyama hai ni tishio kwa mataifa ya mabeberu yaliyonufaika na wanyama wetu
4. Kufufua shirika LA ndege, ATCL kumeathiri soko LA ndege za mabeberu hivyo kutoipenda serikali ya JPM
5. Udhibiti wa safari za nje, umeua biashara ya mahoteli, ndege na ufichaji wa pesa za watanzania huko Ulaya.
6. Udhibiti wa biashara ya mafuta nchini kutokana na bei elekezi umepunguza faida kwa makampuni ya kibeberu yauzayo mafuta nchini
7. Udhibiti wa madawa ya kulevya umepunguza faida kwa wazungu wa unga ambao wengi wao ni mabeberu.
8. Sheria kukemea ushoga ili kulinda maadili ya kitanzania na rasilimali watu ya Taifa ni chukizo kwa mabeberu pia.
9. Udhibiti wa mapato na matumizi nchini ili kujenga Taifa linalojitegemea ni chukizo kwa mabeberu pia
10. Usimamizi thabiti wa miradiikubwa ya kimkakati kama SGR, Stigglers Gorge, Fly overs, n.k ni tishio kwa maslahi ya mabeberu.
Kutokana na Maslahi ya Mabeberu kuminywa, tutegemee mkono wao katika uchaguzi huu kwa kumwaga pesa, kinga na vifaa ili wapenyeze vibaraka wao katika serikali.
11. Msimamo thabiti na uhodari katika vita dhidi ya KORONA JPM ameitikisa Dunia na kuwaumbua mabeberu na hujuma zao hivyo kuwa chukizo kwao
Ukitazama kwa jicho LA kizalendo, utabaini kwamba ACT wazalendo na CHADEMA wanatumika kwa maslahi ya mabeberu.
Vikao na safari za Ulaya, Asia na Amerika kwa viongozi wa hivi vyama ni ishara tosha kwamba, Mabeberu wanao vibaraka katika uchaguzi huu.
Mimi mzalendo nawahamasisha watanzania wenzangu tusidanyanyike, Tusimame na JPM kwa maslahi ya Taifa. JPM amejipambanua kuwa Mzalendo, Jasiri, Mpambanaji na Kiongozi bora, Tumpe Kura za Ndio na tuwashawishi waliokengeuka warudi kundini.
2020 Tunaenda na Mzalendo Mwenzetu JPM, Ili Kuwaaibisha Mabeberu na Vibaraka wao
 
Cha maana afute mikataba yote CCM iliyoingia na Mabeberu.

Nitampigia Kura JPM
 
Huu utawala umefanya wazalendo wa kweli tukinai siasa!
Hovyohovyo tu kama basi la Loliondo
 
Mm Niko upande wa Lissu siwezi kumpigia kura yangu mtu asiyeweza kuongea hata kingereza.
 

Ndugu zangu ni usiku wa manane na pamoja kwamba nina usingizi, nimeona niwaletee hii ili liwe somo kwetu sote.

Raisi wetu Mheshimiwa J. J Magufuli alipotamka sera ya kudhibiti Corona katika taifa, tulitiliwa mashaka na hata kubezwa na watu mbali mbali wakiwemo watu wa hapa kwetu. Jambo la kuhuzunisha ni pale ambapo waliamua kulichukulia suala hili kisiasa na mazoea ya kukanusha kila jambo hata kama ni jema namna gani maadamu likidhi mitazamo ya kisiasa.

Hata rais alipoagiza watu wote tuombe Mungu na kumshukuru, waliendelea kubeza wakati huo huo ukiangalia, wanasema wana dini. Wengine walitabiri kwamba tutakwisha huku rais wetu akifedheheshwa na kutupiwa kila takataka . Lakini Rais wetu amekuwa kiongozi wa pekee sana katika Africa na dunia katika mambo mengi likiwemo hili la Corona. Dr. Lumumba alisema "Anachokiona Magufuli kwa sasa akiwa amekaa, WHO watakiona baadaye sana wakiwa wamesimama".

Haukupita muda, tunasikia Mataifa mbali mbali wanaanza kuitisha maombi ya kitaifa.
Baadaye wanaanza kusema maisha yaendelee tujifunze kuishi na huu ugonjwa kama magonjwa mengine.
Wengine wanakataa kufungiwa ndani na hata wanauawa na polisi kwa kutojifungia!. Sijui kifo cha risasi na cha corona kipi ni kifo na kipi ni nini.
Wengine ndio kama hawa wa Berlin.

Wakati huo huo, mbinu zote zinazoshabikiwa na wabezaji, hazijaonyesha kwamba ndiyo njia za mafanikio ya moja kwa moja katika Corona.
Ombi langu ni kwa Watanzania kuacha kubeza juhudi za Rais wetu wa pekee sana.

Naomba tuongeze uwezo wa kuelewa mazuri na kushirikiana na wanaotuongoza katika hayo kwa manufaa yetu. Kama hujui kinachoendelea, kunyamaza ama kuuliza huwa ni uungwana kuliko kupanga mbegu mbaya hata kwa wengine wakati kumbe na wewe hujui.

Ubishi bila maarifa ni fedheha.
 
Wakuu wakati tunashabikia mambo ya kisiasa kwa kutumia hisia tuwe tunajaribu basi na kutumia akili zetu.

Taifa letu linahitaji kiongozi shupavu aliye imara kimwili na kiakili.

Tunahitaji kiongozi ambaye ataweza kututembelea vijijini kuja kuona maendeleo yetu bila kuchoka, kuzungumza na wananchi ili kujua kero zetu.

Ni hivyo tu wakuu basi kama ni hivyo Dkt Magufuli anatosha kabisa kuendelea kuongoza taifa letu.

Ni kiongozi shupavu na imara kimwili na kiakili.
 
Nini maana ya kichaa?
 
Kigogo 2014 na zile taharifa dhake dha habari dha kuhumwa mkuuruu ni kwerii...kama ni hivyo basi mzito na mwembeni wanafaa au nyaharandwu....kwa maitaji yako ya afya umemlenga mtundu mlizu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…