Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
You are not nonsense but ass! Kama hujui uchumi unakuwa kupitia vichocheo gani then you are ass full stop!Utter none sense!
tunakula SGR?
Onesha na jinsi alivyoua demokrasia na kuleta ubaguzi kati ya makabila.*SHUJAA WETU RAIS DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI LAZIMA AREJEE MADARAKANI KWA USHINDI MKUBWA WA KISHINDO UCHAGUZI MKUU OKTOBA 28, 2020.*
Kwa Kazi Kubwa iliyofanywa na Rais wetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Pamoja na Serikali yake ( 2015 - 2020 ), Watanzania wote wenye Mapenzi Mema na Nchi yetu, Tunaokipenda Chama chetu Cha Mapinduzi na Rais wetu Dkt. John Pombe Magufuli, tunapaswa Kuhamasishana sasa Kuwa ON. Hakuna Kulala wala Kubweteka, Tunawajibu Mkubwa wa Kuhakikisha Shujaa wetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli anarejea Madarakani Kwa Ushindi Mkubwa wa Kishindo.
Tusilale Ndugu zangu na Kujifariji, Tunapaswa Kuingia Vitani sasa, Kwa hii Miezi Miwili Tujitoe Kwelikweli Kuifanya Kazi ya Kutafuta na Kulinda Kura za Rais Magufuli na Wagombea Ubunge Kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
Arusha Tuko Tayari Kumkabiri Goriati anayejiita CHADEMA NA Ndugu zake wengine; ACT Wazalendo, CUF, NCCR Mageuzi[emoji35][emoji1377]
*Robert PJN Kaseko*
*Arusha.*View attachment 1532230View attachment 1532231View attachment 1532232View attachment 1532233View attachment 1532234View attachment 1532236
Shujaa analindwa na mijegeja muda woteπππππ*SHUJAA WETU RAIS DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI LAZIMA AREJEE MADARAKANI KWA USHINDI MKUBWA WA KISHINDO UCHAGUZI MKUU OKTOBA 28, 2020.*
Kwa Kazi Kubwa iliyofanywa na Rais wetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Pamoja na Serikali yake ( 2015 - 2020 ), Watanzania wote wenye Mapenzi Mema na Nchi yetu, Tunaokipenda Chama chetu Cha Mapinduzi na Rais wetu Dkt. John Pombe Magufuli, tunapaswa Kuhamasishana sasa Kuwa ON. Hakuna Kulala wala Kubweteka, Tunawajibu Mkubwa wa Kuhakikisha Shujaa wetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli anarejea Madarakani Kwa Ushindi Mkubwa wa Kishindo.
Tusilale Ndugu zangu na Kujifariji, Tunapaswa Kuingia Vitani sasa, Kwa hii Miezi Miwili Tujitoe Kwelikweli Kuifanya Kazi ya Kutafuta na Kulinda Kura za Rais Magufuli na Wagombea Ubunge Kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
Arusha Tuko Tayari Kumkabiri Goriati anayejiita CHADEMA NA Ndugu zake wengine; ACT Wazalendo, CUF, NCCR Mageuzi[emoji35][emoji1377]
*Robert PJN Kaseko*
*Arusha.*View attachment 1532230View attachment 1532231View attachment 1532232View attachment 1532233View attachment 1532234View attachment 1532236
Acha porojo Ni ya TanzaniaMkuu hiyo picha ya HEP sio ya Tanzania kama kuna namna ya kuitoa itoe.
Ya Tanzania hii hapa
View attachment 1532250
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]