peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Atafanikiwa kukosa fedha za misaada na mikopo kutoka kwa mabeberu.Wadau, huu ni uzi maalumu wa kuangazia na kujadili mafanikio ya Rais Magufuli katika kipindi chake hiki cha mwisho (2020 - 2025) kwa mujibu wa katiba tuliyonayo.
Kwakuwa ndio kwanza ngwe imeanza, tutakuwa tunaupdate mara kwa mara.
Viva Magufuli viva
Atafanikiwa kukosa fedha za misaada na mikopo kutoka kwa mabeberuWadau, huu ni uzi maalumu wa kuangazia na kujadili mafanikio ya Rais Magufuli katika kipindi chake hiki cha mwisho (2020 - 2025) kwa mujibu wa katiba tuliyonayo.
Kwakuwa ndio kwanza ngwe imeanza, tutakuwa tunaupdate mara kwa mara.
Viva Magufuli viva
Na kufunga wapinzani wakeAtafanikiwa kwenda the Hague
Amefanikiwa kujenga taifa la chukiAmefanikiwa kubomoa zaidi uhuru,umoja na ustawi wa taifa letu. Binafsi najisikia vibaya kuona wana ccm wakijinasibu ushindi japo wapo waliopambana na ni waungwana.
Ni awamu za CCM ndo zilimefanya hayo... Hata awamu hii zile 1.5T hazijulikani zilikoWatanzania, ni mambo ya ajabu yamefanyika katika nchi hii, ya ajabu! Ninaposema ya ajabu... mtu alikua yuko radhi kuuza maisha ya watanzania kwa pick-up
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais John Pombe Magufuli
Ni awamu za CCM ndo zilimefanya hayo... Hata awamu hii zile 1.5T hazijulikani ziliko
Chama kisichoweza kudhibiti viongozi wake waandamizi lazima kizalishe upupu. ......... subiri na huyu aondoke.Kijue chama, zijue Sera na ujue uongozi mkuu, na uweze kichambua na kutofautisha nyakati
Wewe ndio usiyejua hizo trillion ziliko, wenzio wanajua vizuriii
Kiutaratibu namanisha kiutaratibu hakupaswa kusema hivyo. Why alikuwa Kati Yao hivyo hawezi shambulia watu wasioweza jitetea. Amekuwa waziri awamu zote mbili hence aliridhia pia ktk vikao vya Baraza la mawaziri na Bunge. Nadhani watayamaliza ndani ya chama. Take my wordsWatanzania, ni mambo ya ajabu yamefanyika katika nchi hii, ya ajabu! Ninaposema ya ajabu... mtu alikua yuko radhi kuuza maisha ya watanzania kwa pick-up
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais John Pombe Magufuli
Tangu ulipoambiwa na Zitto hujagundua ulilishwa uchafu? Miaka yote unaimba 1.5 trillion!Ni awamu za CCM ndo zilimefanya hayo... Hata awamu hii zile 1.5T hazijulikani ziliko
Ni awamu za CCM ndo zilimefanya hayo... Hata awamu hii zile 1.5T hazijulikani ziliko
Wanasemaga usimtukane mamba kabla huja vuka mto pengine alikuwa anasubiri avuke!Kiutaratibu namanisha kiutaratibu hakupaswa kusema hivyo. Why alikuwa Kati Yao hivyo hawezi shambulia watu wasioweza jitetea. Amekuwa waziri awamu zote mbili hence aliridhia pia ktk vikao vya Baraza la mawaziri na Bunge. Nadhani watayamaliza ndani ya chama. Take my words
Kwahiyo kwa kuwa Raisi Ni CCM basi apaswi kuwawajibisha wanacccm wenzake?Ni awamu za CCM ndo zilimefanya hayo... Hata awamu hii zile 1.5T hazijulikani ziliko
Mr. MV DAR ES SalaamWatanzania, ni mambo ya ajabu yamefanyika katika nchi hii, ya ajabu! Ninaposema ya ajabu... mtu alikua yuko radhi kuuza maisha ya watanzania kwa pick-up
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais John Pombe Magufuli