Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Wadau, huu ni uzi maalumu wa kuangazia na kujadili mafanikio ya Rais Magufuli katika kipindi chake hiki cha mwisho (2020 - 2025) kwa mujibu wa katiba tuliyonayo.

Kwakuwa ndio kwanza ngwe imeanza, tutakuwa tunaupdate mara kwa mara.

Viva Magufuli viva
Atafanikiwa kukosa fedha za misaada na mikopo kutoka kwa mabeberu.
 
Wadau, huu ni uzi maalumu wa kuangazia na kujadili mafanikio ya Rais Magufuli katika kipindi chake hiki cha mwisho (2020 - 2025) kwa mujibu wa katiba tuliyonayo.

Kwakuwa ndio kwanza ngwe imeanza, tutakuwa tunaupdate mara kwa mara.

Viva Magufuli viva
Atafanikiwa kukosa fedha za misaada na mikopo kutoka kwa mabeberu
 
Wanajanvi naomba niwasalimu katika jina jema la Mwenyezi Mungu na Mtume wake M.S.A.W

Nina furaha na hamasa kubwa kutoka kwa Wanajamii wa Bagamoyo. Tumeona kamji ketu sasa barabara zinajengwa, tope zinapungua, hadhi ya Bagamoyo inarudi.

Rais wetu Mpendwa Magufuli karibu tena Bagamoyo. Tunakupenda, tunakuhitaji, na tuko pamoja nawe.

Asante Kwa Leo. Karibuni Bagamoyo
 
Watanzania, ni mambo ya ajabu yamefanyika katika nchi hii, ya ajabu! Ninaposema ya ajabu... mtu alikua yuko radhi kuuza maisha ya watanzania kwa pick-up



Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais John Pombe Magufuli
 
Kijue chama, zijue Sera na ujue uongozi mkuu, na uweze kichambua na kutofautisha nyakati
Wewe ndio usiyejua hizo trillion ziliko, wenzio wanajua vizuriii
Chama kisichoweza kudhibiti viongozi wake waandamizi lazima kizalishe upupu. ......... subiri na huyu aondoke.
 
Watanzania, ni mambo ya ajabu yamefanyika katika nchi hii, ya ajabu! Ninaposema ya ajabu... mtu alikua yuko radhi kuuza maisha ya watanzania kwa pick-up



Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais John Pombe Magufuli

Kiutaratibu namanisha kiutaratibu hakupaswa kusema hivyo. Why alikuwa Kati Yao hivyo hawezi shambulia watu wasioweza jitetea. Amekuwa waziri awamu zote mbili hence aliridhia pia ktk vikao vya Baraza la mawaziri na Bunge. Nadhani watayamaliza ndani ya chama. Take my words
 
Kiutaratibu namanisha kiutaratibu hakupaswa kusema hivyo. Why alikuwa Kati Yao hivyo hawezi shambulia watu wasioweza jitetea. Amekuwa waziri awamu zote mbili hence aliridhia pia ktk vikao vya Baraza la mawaziri na Bunge. Nadhani watayamaliza ndani ya chama. Take my words
Wanasemaga usimtukane mamba kabla huja vuka mto pengine alikuwa anasubiri avuke!
 
yani utasikia kiongozi wa ccm akisema "tumeumizwa sana" utafikiri hapo kabla dola iliwahi kukamatwa na upinzani, hii inachekesha sana.

kwani huo ubadhirifu na ufisadi ulifanywa na chama kipi?
 
Back
Top Bottom