Pamoja na kutofautiana kwenye namna ya kupambana na majanga ikiwemo covid-19/21,Raisi MAGUFULI ni Raisi mfano wa kuigwa katika kutambua uwezo wa Waafrica,Total independence na Namna ya kujitawala kwa kufuata misingi yetu ya kiafrica...Nina uzi wa kupinga namna MAGUFULI anavyopambana na Covid-19 tofauti na taratibu za ki_dunia,lakina ni alama ya Uhuru wa kweli na kujitambua kama ngozi nyeusi,kujitawala na kujitegemea .HUYU ATAKUWEPO KWENYE HISTORIA YA VIZAZI VYENU VYOTE MPENDE MSIPENDE