Aisee huyu jamaa Mungu ampe maisha m?refu ajioe yatakayoendelea.Miako 10 ya Kikwete ni The Lost Ten Years.
Kikwete hakujua uzito wa Jukumu alilokuwa nalo hata kidogo wala hakuwa anajua nini kinaendelea hata pale Ikulu alone
Kwa hali ya kawaida kama Magufuli wetu angeendeleza status quo (mazoea yaliyokuwepo hapo mwanzo) ina maana sasa hivi Mawaziri wapya tayari wangekuwa wanaishi Hotelini ( hoteli za nyota tano) wao pamoja na familia zao kwa gharama zetu, kuanzia malazi, chakula, vinywaji mpaka usafiri mpaka pale ambapo nyumba zao zingepatikana au kukamilishwa kufanyiwa ukarabati, rejea nyumba ya gavana wa benki Beno Ndulu mpaka iliwekewa bwawa na kuogelea (swimming pool) kwa gharama yetu!
Halafu kuna watu wanaishi Marekani na Ulaya wanamponda Magufuli wetu anavyojitoa mhanga kutetea wanyonge na masikini wa nchi hii waliokanyagwa, kutumiwa na kudharauliwa maisha yao yote ili hali wao wakiugua wanakwenda kutibiwa huko huko Marekani lkn hawapandi ndege kuja kutibiwa Muhimbili, wanakuja likizo na dola zao dharau kibao na kutegemea wakute nchi iko kama Marekani walikotoka!
= Lubuva
= viashiria
= Lowassa
= Magufuli
= Lowassa
= Magufuli
= Magufuli
tutampima kwa matokeo kama vifaa vya kutosha mahospitalini, madawa ya kutosha, wafanyakazi wa kutosha hasa elimu na afya, vitendea kazi vya kutosha mashuleni, wanafunzi wenye sifa elimu ya juu wote wanapata mikopo, barabara nzuri, maji salama, umeme wa uhakika, uchumi wa mtu mmoja mmoja umekua n.k hatutampima kwa ziara maofisini
Trust me TRA kuna uwezekano mkubwa wakawa wanakusanya trillion 2.5 kwa mwezi katika kipindi cha kuanzia miezi 6 ijayo. Kuna jamaa yangu anadai amepigiwa simu na bosi wake (Mchina) katika hali ya dharura (urgency ya ajabu) na kwa kushtukiza (as if mtu anaepiga simu fire/ambulance) akimsihi na kumsisitiza atoe risiti za TRA kwa kila mzigo atakaouza hata ukiwa ni mzigo Wa millioni 50, ahakikishe anaandika risiti ya 50m exactly bila kupunja hata 100 kwa kuandikia nusu risiti Kama wafanyavyo wafanya biashara wengi. Wakati Mchina huyo anapiga simu hiyo alikuwa akihema kama anakimbizwa, ikabainika alikuwa anarush ku-solve ishu nzito ya Mchina mwenzake alie tiwa nyavuni na mamlaka kwa masuala ya ukwepaji kodi..., ni mkimbizano na mtifuano mkali sana unaendela kwa sass..
Mkuu mimi naona hapo hujatabiri kitu chochote
kwani ulichokisema hata mtoto wa vidudu anaweza
kukibashiri kwani kwa kasi liliyopo kwa sasa na hakika
hakuna atayesalimika.
Hilo la kuongezeka mapato kwa kasi iliyopo sasa ni lazima
kwani ulichokibashiri ni sawa na mtu uende kwa mganga wa
kienyeji unaonekana mwingi wa mawazo , halafu anaanza
kukwambia kuwa unaonekana una matatizo lukuki yanakuandama
katika maisha yako.
Sasa wewe hapo unadhani kutakuwa kweli kuna utabiri...?? zaidi ya kutumia
muonekano wa hali yako kubashiri mambo aliyokuambia.
Sure..? Hivi kwenye madini tunatakiwa ukapa mrahaba/mrabaha wa asilimia ngapi vile?mkuu bandari tu tukiibana vizuri na hawa matajiri wa madini , utalii bila shaka tutaweza kufika hadi 4.0 triolion kwa mwezi mark my words
Ahsante kwa kuwasilisha ila kwa nini hii post ipo kwenye "Tech Gadgets & Science"??
Mahakama ya mafisadi ikianza Lowasa hatoki bila kusahau rostamu Azizi.Ndugu wanajukwaa! rais magufuli tulipo mchagua tulikuwa na iman nae sana, na tuliamin atatuvusha kutoka sehem moja kuelekea nyingine, binafsi mpaka sasa ninamuunga mkono kwa kasi yake ya ajabu ya kupambana na mafisad na kulinda raslimari zetu! kitu ambocho mpaka sasa cjamuelewa rais wetuni kwamba anampango gan na mafisad waliopo ndan ya chama? kwenye serikali zilizopita tuliona viongozi wa ngazi za juu wa serikali wakijimilikisha migod, viwanda, mashamba nk, bila shaka anawajua kabisa,sasa hao watu anampango nao gan? maana tunaona ana dili na vidagaa wakati ma papa wapo? Kuna viongoz wameiingiza nchi kwenye mikataba ambayo haina tija kwa maslah yao sasa hao rais nao hawajui? kwa iyo tunamuomba mh rais kama anauzalendo wa kweli na hii nchi ahakikishe hata wale viongoz wakuu wa serikali zilizopita nao anawawajibisha, apo ndio tutakuwa na iman nae na sio kuwaonea watu wa tabaka fln, haki itendeke kwa wote sababu yeye alikuwa kwenye system kitambo hivyo wale wote waliofanya ufisad wa kujilimbikizia mali kupitia raslimali zetu anawajua. Baada ya kusema ayo naomba kuwasilisha
Sure..? Hivi kwenye madini tunatakiwa ukapa mrahaba/mrabaha wa asilimia ngapi vile?