The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mkuu,kwahiyo ukitaka kufurahia Daraja la nchi yako unatakiwa kwanza ufike Kigali?Mleta mada anaonekana hajafika hata kigali.. anyway hizo pesa hakutoa mfukoni kwake
Huyo alipotea kwa ujinga wakeKweli pepo kashaiona......hakuna ubishi wowote ule.
Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali
Hivi Ben hatarudi tena?? Kijana mwenye miaka hiyo unaweza kumpatia adhabu kubwa namna hiyo? I dont want to imagine that Ben won't be arround again...kwamba he is no more? !!! .....nooooo!!!!!www.jamiiforums.com
Kamuua nani?Kwahiyo dhambi ya mauaji atasahemewa kwakuwa amejenga daraja ?
Yule mzee alikuwa na roho chafu zaidi ya Ibilisi mwenyewe.
hebu nenda tuition wewe mtoto acha kuchezea keyboardNi bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Ona haka kataahira!Mwendakuzimu alikuwa mbinafsi sana, alituaminisha hatatokea rais mwngne wa kujenga reli na madaraja, lkn cha ajab hata kabla mzoga wake funza hawajaumaliza, maza Huyo tayari kaanza kujenga daraja kubwa la busisi na reli kutoka isaka to mwanza.
Akili hizi ata punda ana afadhaliNi bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Nenda nairobi ukashangae zaidi ,na nairobians wala hawana habari na Rais UhuruNi bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Mipovu mingi point maviKwanza una matatizo mawili ya msingi.
1.Wewe ni mshamba, na kutokana na ushamba wako unaona kilichofanyika Ubungo ni kama muujiza na unadhani hakijawahi kufanyika mahali pengine duniani.
Wakati ukweli ni kwamba kwa mji kama dar, kilichofanyika hakifanani na interchange katika miji na majiji ya nchi za wenzetu. Lakini wewe nakufanananisha na hadithi ya kipofu ambaye hakuwahi kuona kabisa katika maisha yake, lakini siku moja akafunuliwa na kubahatika kumuona mbwa kwa dakika moja kisha upofu ukamrudia. Basi toka siku hiyo ikawa kila akifika mahali watu wanapiga stori kusifia kitu kizuri au kikubwa basi yeye akawa akiuliza hicho kitu kinaweza kuwa kizuri au kikubwa kumzidi mbwa? Hata hivyo hakuwa na makosa maana maishani mwake hakuwahi kuviona vitu vingine zaidi ya mbwa. Ni sawa na wewe kwasababu hujawahi kuona interchange yoyote zaidi ya hiyo ya ubungo hivyo kwako unaona huo ni muujiza.
2.Hujui wajibu wa serikali ni nini. Kwako wewe unaona serikali ikifanya kitu ni kama hisani.
Hapa kinachokusumbua ni ukosefu wa elimu ya uraia.
Jielimishe.
Unatumia kilevi gani?Ni bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Mwendakuzimu kwa miaka 6 kashindwa kupeleka ushahidi wa ugaidi unataka maza naye aendelee kuonea watu.?Maza anafungulia jela majizi na magaidi, ngoja aendelee kudemka tu yatamnyoosha.
Ndiyo... Haki yako ni kuishutumu...kuidai...kuilalamikia...kuipigia kelele serikali itimize wajibu wake kikamilifu!Ila isipotimiza wajibu wake unatakiwa kuishutumu?
Umeandika ujinga
Crimea wengi wana akili sana wewe sijuhi crimea wa Chatle ama Kolomije??Ila isipotimiza wajibu wake unatakiwa kuishutumu?
Umeandika ujinga
We ni ngedere kabisa huu Uzi unasifu project za kikwete naomba ufahamu hilo pimbi wewe.Hilo daraja la Busisi ni project ya Magufuli.
Hata SGR ni project ya Magufuli pia.
Usisahau hilo bwana-nyumbu.
Uzuri ni idadi ya wanaomkumbuka mtukufu Hamnazo inazidi kupungua kila sekunde!TANZANIA ILIKUWA BADO INAMUHITAJI SANA MH.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
TUTAMKUMBUKA MPAKA TUTAKAPO KUTANA NAE KWA MUNGU.
LEO NIMEMLILIA TENA UPYA.
Kwa hiyo ukikamilika credits zinaenda kwa mwendakuzimu? Hebu tuwekee asilimia za utekelezaji mpaka sasa?Daraja limeanza kujengwa huu ni mwaka wa pili na pia reli ya Mwanza Isaka ilisha aanza kujengwa toka mwaka jana
Yaelekea hujavuka border kupitia anga, na pengine hata passport huna. Zipo zilizokata kona kulia, kushoto, na u-turn, zote za juu, chini ni kwa waenda kwa miguuNi bonge la mega structure. Vyombo vinapishana tu. Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi. Namshangaa mama anayatoa jela majizi. JPM peponi!