Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

usipende kujionesha kwamba eti nawewe unaelewa vitu kwa kutumia kigezo cha kupinga wafanyacho wenzako...tuambie umeifanyia nini hata familia yako tu.. ili ikiwezekana tukuige.
 
Hivi fisadi Lowassa angeweza kweli kutumbua haya majibu ambayo Magufuli anayatumbua bila ya kugusa maafiki zake? Lowassa angeweza kumgusa Karamagi?
 
Hivi fisadi Lowassa angeweza kweli kutumbua haya majibu ambayo Magufuli anayatumbua bila ya kugusa maafiki zake? Lowassa angeweza kumgusa Karamagi?

Ni rahisi waandishi wa habari wamtafute wamwuulize anajisikiaje Masamaki na Kamishina wa TRA kupigwa chini kwa yaliyotokea bandarini.Muulizeni waandishi wa habari ajibu je angekuwa yeye angewafukuza ajibu ndiyo au hapana msiendekeze bla bla.Na muulizeni anajisikiaje kwa safisha safisha ya Magufuli bandarini na TRA.

Lile pigo linaloendelea bandarini na TRA linamhusu sana tena sana tu.

Angeshika yeye jipu lisingetumbuliwa ila nchi ingetumbuliwa HADI BASI
 
Hivi fisadi Lowassa angeweza kweli kutumbua haya majibu ambayo Magufuli anayatumbua bila ya kugusa maafiki zake? Lowassa angeweza kumgusa Karamagi?
Ni wapi karamagi kaguswa? mwambie Aguse ticks au jamaa wa home shopping center aone moto
 
Haihitaji kwenda mbali sana kifikra. Swali la kijuliza ni je, alipokuwa wazir mkuu aliwahi kuibua uozo upi?.
.
.
.
. Lowasa amezidiwa hata na majaliwa..
Lowasa ni kirusi kilichotaka kuivamia stake Tz
 
usipende kujionesha kwamba eti nawewe unaelewa vitu kwa kutumia kigezo cha kupinga wafanyacho wenzako...tuambie umeifanyia nini hata familia yako tu.. ili ikiwezekana tukuige.

Maprof. na madaktari walio kwenye mfumo walipokuwa wanasoma waliambiwa kwamba waje waige kwenye familia yangu? Basi Waambie waje waige namna ya kuezeka nyumba ya tembe.
 
Hili muvi vijiwe vyote nchini linajadiliwa si wakubwa si wadogo limeshika mpaka kina mama likasambaa mpaka nje ya mipaka aiseee lipo kimataifa zaidi Mamovie km haya mwisho wake Sterling hugeuka Zombie subiri tuone

Unaweza ukawa mtabiri mzuri mkuu. Tusubiri.
 
Eti wanamtenganisha Magufuli na CCM! Ni watu wasio na akili tu ndiyo wanaweza kufikiri hivi! Magufuli ni CCM na CCM ni Magufuli!
 
Mbona umeisahau ile muvi ya kuzungusha mikono na stering wake alikua anaongea kwa dakika tano tu. Iliishia wapi ile muvi ilhali ilikuwa na mvuto kuliko muvi zote za Kanumba?
 
Hawa jamaa nabaki nawashangaa sana yaani ni wajinga mno. Kuna baadhi naona kabisa wana elimu lakn bado hawajaelimika.
 
Wamelalwa Doroooh hao! kwani wameshakiri kuwa MAGUFULI ni rais wao.....
 
Eti wanamtenganisha Magufuli na CCM! Ni watu wasio na akili tu ndiyo wanaweza kufikiri hivi! Magufuli ni CCM na CCM ni Magufuli!

Walisema magufuli hawezi kufanya chochote cha maana kutokana na mfumo. Sasa wanaona mambo yanakwenda safi wanasema magu ni mpinzani. Magufuli ni ccm daima.
 
usipende kujionesha kwamba eti nawewe unaelewa vitu kwa kutumia kigezo cha kupinga wafanyacho wenzako...tuambie umeifanyia nini hata familia yako tu.. ili ikiwezekana tukuige.

MOVIE SIO MCHEZO! IMEWAFANYA hata WALE WA UPANDE WA PILI aka CHADOMO WAIGIZE MOVIE NA MAITI KWA TAKRIBANI SIKU 10 lakini haikuuza....
 
Wameshindwa kufahamuu kuw magufuli atabadilisha nchii ,wanatk ubadhilifuuu tuu ,,tunasema hatutakiiiii..
 
Back
Top Bottom