evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,333
lazma tufatilie na tuchallenge............Namkubali Magufuli, lakini its too early kumsifia sana
Kuna mambo anatoa amri lakini hakuna ufuatiliaji, kama suala la safari za nje bado lipo sana, suala la ukusanyaji kodi limerudi palepale anakusanya 1.04Tillion, wakati JK alikuwa anakusanya 950/990Billion tofauti ni ndogo sana kuliko nguvu iliyotumika
meaning bado watu wanaendelea kula kama mwanzo, hakuna ufuatiliaji!! the same old story
Hapo nitatofautiana na wewe. Yapasa kujua kuwa ile Dec-Jan mwaka huu kuna watu walikuwa wanafunga mahesabu ya mwaka lakini pia kulikuwa na makampuni yaliyopewa muda wa kulipa kodi. Hapo lazima utaona baada ya mambo hayo kupita, actual revenue collection almost inakaa katika normal margin, na kwa hiyo uwezo wetu unacheza hapo yaani kati ya 800-1004bn/-(0.8-1.04tn/-)Namkubali Magufuli, lakini its too early kumsifia sana
Kuna mambo anatoa amri lakini hakuna ufuatiliaji, kama suala la safari za nje bado lipo sana, suala la ukusanyaji kodi limerudi palepale anakusanya 1.04Tillion, wakati JK alikuwa anakusanya 950/990Billion tofauti ni ndogo sana kuliko nguvu iliyotumika
meaning bado watu wanaendelea kula kama mwanzo, hakuna ufuatiliaji!! the same old story
mkuu Acha jazba unataka awaletee ela milangon kumbuka bajet mnayotumia ni ya mzee wa msogaKazi ipo tutayaona mengi
Ivi kwa wananchi gani?wakati huku kitaa njaa Kali kila mtu ukimuambia habari ya majipu hajui faida yake kwani njaa bado ipo pale pale bidhaa kila siku zinapanda bei au wewe upo nje ya nchi? Hacha kutoa post za kipuuzi kama unataka aongoze milele ataiongoza family yenu mana nahisi hapo nyumbani kwenu amna kiongozi
Nampongeza sana Rais Magufuli kwa kutekeleza ahadi zake na hivyo kutufanya watu tulomchagua kutembea kifua mbele huku mtaani tukitamba dhidi ya wale walotubeza kuwa Magufuli hatoweza kuubadili mfumo ulomlea
Sasa nadhani wanaona haya. Viva Magufuli
Kumbe na wewe unakubali kuwa alilelewa na mfumo fisadi!Nampongeza sana Rais Magufuli kwa kutekeleza ahadi zake na hivyo kutufanya watu tulomchagua kutembea kifua mbele huku mtaani tukitamba dhidi ya wale walotubeza kuwa Magufuli hatoweza kuubadili mfumo ulomlea
Sasa nadhani wanaona haya. Viva Magufuli