Mjinga ni huyo dada yako aliyetekwa na ukoloni mamboleo. Huwezi leta habari ya kumsifu raisi wetu mwenye mapenzi mema na wananchi wake kwa lugha ya Kikoloni. Angalia hata Facebook page ya Zuma uone Wasouth tena waliokaa na wazungu karne kwa karne wakiposti kwa lugha ya kwao. Trump huyo ndo baba wa majipu yote ya Africa na namkubali kama ninavyomkubari Magufuri, Arsenal,Barca na Yanga. Huyo hata ukifuatilia anakosoma hawezi tumia jina la asili yake. Nakupa changamoto wewe popoma. Tafuta majina ya Wasouth ama Wabotswana uone kama utapata jina la Kikoloni huko. Unaweza kuta kati ya 10 mmoja ndo anatumia jina la kikoloni. Jitambue