Binafsi nakushukuru sana kwa niaba ya Wananchi wenzangu wa Mwanza. Wakati wa utawala wa JK umeme hapa Mwanza ulikuwa kama janga la Taifa wakisingizia mara ukame na sababu zisizo na msingi kabisa. Leo hii hapa Mwanza matatizo ya umeme yanataka kuwa historia.
Sasa yapata majuma mawili mfululizo umeme haujakatika na tunaendesha sana shughuli zetu kama kawaida ukichukulia kuwa kwa karne ya sasa umeme ndiyo kila kitu. Mimi najiuliza utawala wa JK kulikuwa na matatizo gani wakati hakuna mabadiliko kwenye miundo mbinu ya umeme.
TUNAKUSHUKURU SANA MHE.MAGUFULI
Sasa yapata majuma mawili mfululizo umeme haujakatika na tunaendesha sana shughuli zetu kama kawaida ukichukulia kuwa kwa karne ya sasa umeme ndiyo kila kitu. Mimi najiuliza utawala wa JK kulikuwa na matatizo gani wakati hakuna mabadiliko kwenye miundo mbinu ya umeme.
TUNAKUSHUKURU SANA MHE.MAGUFULI