ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Amejitoa kwa lipi hasa wakati maisha yanazidi kuwa magumu??Sisi wananchi tunajielewa na ni wazalendo tuunganishe nguvu yetu na Rais wetu kujenga Tanzania mpya. Asante Mungu kutupa huyu Rais.. Pamoja na mama yetu suluhu makamu wa Rais... Wapinzani tuungane tupige hatua miaka hii mitano ACHENI siasa za kijinga za kuandamana.. RAIS huyu tuliyenaye ni mkarimu sana na ameamua kujitoA kwa nchi hii..
Umepewa cheo nini mkuu maana hali tete huku mtaani.Wewe ni mwizi? Wewe ni fisadi? Wewe ulikuwa unapata hela kwa njia zisizo halali?
Huko ulikopita waliongezewa mishahara,walipewa ajira,walipanda madaraja,sukari haijapanda bei,nk
Kama ni hivyo sawa ila kama sio hawajui kuwa wanatawaliwa na dikteta uchwara pia hawajitambui.
Ni 99.99999999% ya watanzania wanasapoti juhudi za Dr MagufuliMtu mmoja anapoamua kujifariji kwa niaba ya wengi, eti sisi watanzania?! Utani wa ngumi huu.
Kwahiyo Kikwete alifanyaje mbona aliongeza mshahara kila mwezi wa saba,madaraja watu walipanda na ajira zolitolewa.Kumwita mkuu wa nchi dictator uchwala mkuu ni kukiuka maadili.....hujui kwamba hao wanaowahaminisha kuvunja ukuta ndio chanzo cha hayoyote unayoyalalamikia....wafanya bihashara na viongozi na wamiliki makampuni ndio hao wakwepa kodi.....usipolipa kodi nchi itajiendeshaje?.....kodi ilipwe kwa ufasaha na hao wavunja ukuta tupate Tanzania mupyaaaa!
Toa data za utafiti wako kuthibitisha hizo digitNi 99.99999999% ya watanzania wanasapoti juhudi za Dr Magufuli
Uko sawa japokua utatukanwa hapa!huyu mheshmiwa alipokua anapita kutafuta wadhamini ndani ya chama chao mikoa kadhaa wanaccm walimkimbia ikabidi atumie nguvu ya ziada kuwatafuta. ni watu wachache sana waliowahi kufikiri kua tungewahi kua nae kama rais kinachonishangaza ni kua ameteka mijadala kwenye media zote za tanzania na jambo kubwa kuliko yote ni kua amechukua hoja zote zilizokua zikiwapa kick wapinzani kias kwamba kwa sasa wamekombewa hoja zoote.