ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sisi wananchi tunajielewa na ni wazalendo tuunganishe nguvu yetu na Rais wetu kujenga Tanzania mpya. Asante Mungu kutupa huyu Rais.. Pamoja na mama yetu suluhu makamu wa Rais... Wapinzani tuungane tupige hatua miaka hii mitano ACHENI siasa za kijinga za kuandamana.. RAIS huyu tuliyenaye ni mkarimu sana na ameamua kujitoA kwa nchi hii..